Serikali yatoa onyo kwa makandarasi

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amewataka makandarasi wanaopewa dhamana ya kujenga miradi ya maendeleo Zanzibar kuheshimu mikataba ya makubaliano wanayoingia kati yao na Serikali, vinginevyo hawatasita kuwachukulia hatua. Hemed ametoa kauli hiyo Julai 6, 2024 alipofanya ziara kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi Kuu ya…

Read More

Sababu zinazochangia wanawake kuota ndevu

Dar es Salaam. Ni jambo la kawaida kwa mwanamume kuota ndevu na ni ishara ya hatua ya ukuaji. Hii ni tofauti na mwanamke kuwa na ndevu ambapo tafsiri huwa tofauti. Mwanamke mwenye ndevu huibua maswali kwa jamii kuhusu sababu ya muonekano wake, jambo ambalo humfanya mhusika kutojiamini. Kutojiamini huku, huwafanya wanawake wenye hali hiyo kutafuta…

Read More

TAWA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI MAONESHO YA 48 YA KIMATAIFA ALMAARUFU SABASABA 2024

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam. MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea Jijini Dar es Salaam kuhamasisha Umma wa watanzania wawekezaji na wageni kutoka mataifa mbalimbali kuwekeza katika maeneo inayoyasimamia huku ikijinasibu kuwa na fursa lukuki za uwekezaji Akiongea na wageni waliotembelea banda la TAWA…

Read More

Ajali ya lori ilivyowanasa wahamiaji haramu Arusha

Arusha. Ikiwa ni mwendelezo wa ukamataji wa wahamiaji haramu wanaoingia nchi, Jeshi la Uhamiaji Mkoa wa Arusha limewakamata wahamiaji haramu 28 kutoka Ethiopia walioingia nchini kwa njia za panya. Wahamiaji hao wamekamatwa usiku wa kuamkia Julai 5, 2024 baada ya lori la mzigo walilokuwa wamepakiwa kupata ajali baada ya kugongana na lori jingine, hivyo wakalazimika…

Read More

Simba yatambulisha kitasa kipya kutoka Nigeria

KLABU ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji, Augustine Okajepha, 20, akitokea Rivers United ya Nigeria. Kiungo huyo raia wa Nigeria, anajiunga na Simba kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa kwenda kuongeza nguvu katika kikosi cha Wekundu wa Msimbazi. Taarifa iliyotolewa na Klabu ya Simba imebainisha kumsajili kiungo kwa mkataba wa miaka mitatu. “Ni…

Read More