RITA YASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA KWA MAFANIKIO
Afisa msajili. Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ,Mariam Ling’ande (kulia) wakiendelea na kazi ya kuwahudumia wananchi waliotembelea mbanda hilo katika maonesho ya kimataifa yanayo fanyika Sabasaba jijini Dar as Salaam. Mafisa mbalimbali wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wakiendelea na kazi ya kuwahudumia wananchi waliotembelea mbanda hilo katika maonesho ya kimataifa yanayo…