Ripoti ya CAG yafichua udhaifu wa taasisi za umma
Unguja. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imefichua jinsi baadhi ya taasisi za umma zinavyokosa usimamizi mzuri wa udhibiti wa ndani kwa kutoanzisha vitengo hivyo kushindwa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria, akishauri vipatiwe mafunzo. Hayo yamo kwenye taarifa ya CAG katika kitabu cha ukaguzi wa taarifa za fedha za…