Unesco kuiunga mkono Tanzania mageuzi ya kidijitali

Dar es Salaam. Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) limesema liko tayari kuiunga mkono Tanzania katika kuimarisha mabadiliko ya kidijitali. Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Mawasiliano wa Unesco, Tawfik Jelassi amesema hayo kupitia barua kwa Mkurugenzi wa Tume ya Tehama nchini, Dk Nkundwe Mwasaga. Dk Nkundwe hivi karibuni alikuwa kikazi…

Read More

Bakita, wadau wakitangaza Kiswahili mtaa kwa mtaa Dar

Dar es Salaam. Kuelekea maadhimisho ya lugha ya Kiswahili Duniani Julai 7, Wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi na sekondari, walimu, wananchi pamoja na wadau wa lugha ya Kiswahili wamefanya matembezi ya mtaa kwa mtaa kunadi lugha ya Kiswahili. Matembezi hayo ambayo yameandaliwa na Baraza la Kiswahili Taifa (Bakita) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwemo…

Read More

Awesu, Simba ni suala la muda tu

Simba inadaiwa kuwa mbioni kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Awesu Awesu kutoka KMC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo anakaribia kujiunga na Simba baada ya kumaliza mkataba wake na KMC. Awesu ana uwezo mkubwa wa kucheza nafasi ya kiungo mshambuliaji na pia winga, ingawa kuna nyakati amewahi kutumika kama kiungo wa ulinzi. Awesu anaachana…

Read More

Lema ataja umaskini Same chanzo ni kukosa soko la tangawizi

Same. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema licha ya Wilaya ya Same kulima zao la tangawizi kwa wingi, bado wananchi wake wameendelea kuwa na hali mbaya kiuchumi kutokana na zao hilo kukosa soko. Amesema maji ya tangawizi nchini Marekani yanauzwa Dola 12 (Sh31,200), hata hivyo kukosekana kwa…

Read More

Sakata la Mashaka, Geita na Simba liko hivi

Wakati Geita Gold ikiijia juu Simba kumtambulisha mchezaji Valentino Mashaka ikidai hawakufuata utaratibu kwa madai bado ni mali yao, nyota huyo ameiruka timu hiyo akieleza mkataba wake ulikuwa umeisha. Simba imemtambulisha Mashaka leo Julai 5 akiwa ni mchezaji wa tano kusaini kandarasi kwa wachezaji wapya, jambo ambalo limeonekana kuwashtua Geita Gold wakidai kuwa bado nyota…

Read More