TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YAWAITA WANANCHI WENYE MALALAMIKO

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv TUME ya Utumishi wa Mahakama imewataka wananchi wenye malalamiko mbalimbali kuhusu vitendo vya ukiukwaji wa maadili ikiwemo kuombwa rushwa unaofanywa na mahakimu na majaji wawasilishe kwa njia ya maandishi. Imeelezwa baada ya Tume kupokea malalamiko hayo hufanya uchunguzi kujiridhisha na tuhuma zinazotolewa dhidi ya watumishi hao na ikibainika kuchukua hatua…

Read More

PPAA YAAENDELEA KUTOA ELIMU SABASABA

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea kutoa elimu kwa Umma kuhusu mjukumu, malengo pamoja na mafanikio yake kupitia Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam. Kupitia maonesho ya Sabasaba yanayoendelea wananchi, wazabuni, taasisi nunuzi pamoja na wadau wa sekta ya ununuzi wameendelea kupata elimu kuhusu PPAA…

Read More

Zuhura Yunus ahimiza watumishi kutatua changamoto za wananchi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus amewahimiza watumishi wa ofisi hiyo kuendelea kutatua changamoto za wananchi na kuwaelimisha kuhusu masuala mbalimbali yanayotekelezwa. Zuhura ameyasema hayo leo Julai 5,2024 alipotembelea banda jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na taasisi zake katika…

Read More

Mwenyekiti Wafanyabiashara Kariakoo aipongeza TRA

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo, Martin Mbwana amepongeza hatua inayofanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ya kuangalia upya mfumo wa kodi bandarini. Amesema mifumo iliyopo sasa imekuwa kilio cha muda mrefu kwa wananchi hivyo mabadiliyo yanayotarajiwa ya kuiboresha na kubadili mifumo hiyo, itaongeza ufanisi na kurahisisha biashara. Mbwana…

Read More

Muda unakaribia kama tarehe ya mwisho ya 2030 inakaribia kwa mpango wa Umoja wa Mataifa kwa siku zijazo nzuri – Masuala ya Ulimwenguni

Mwaka 2024 Jukwaa la ngazi ya juu la Siasa kuhusu Maendeleo Endelevu (HLPF) itafuata kuanzia Septemba iliyopita Mkutano wa SDGiliyofafanuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo kama “wakati wa umoja” kugeuza Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) katika ukweli. Mawaziri wa Serikali, wanaharakati na wanachama wa mashirika ya kiraia watakutana na kujadiliana wakati…

Read More

Mauaji ya visasi vya kifamilia yatikisa Katavi

Katavi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limeeleza mafanikio ya operesheni, doria, misako na hatua za kesi zilizofikishwa mahakamani ambapo watu 74 wanashikiliwa na jeshi hilo kwa makosa mbalimbali ikiwemo watu 12 kutuhuma kuhusika na mauaji ya wanafamilia. Akizungumza na vyombo vya habari leo Julai 5, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Kaster Ngonyani…

Read More

WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU

Wananchi wameendelea kujitokeaza kwa wingi katika banda la Ofisi ya Waziri Mkuu kwa ajili ya kupata huduma na uelewa wa masuala mbalimbali yanayotekelezwa na ofisi hiyo. Aidha, katika maonesho hayo Ofisi ya Waziri Mkuu inashiriki pamoja na Taasisi zake na imeendelea kuwaelimisha na kuwafahamisha wananchi na wadau juu ya masuala mbalimbali yanayotekelezwa na ofisi hiyo…

Read More