Bodi ya Sukari yajibu hoja za wazalishaji utoaji vibali

Dar es Salaam. Bodi ya Sukari Tanzania (SBT), imejibu hoja za wazalishaji wa bidhaa hiyo nchini walizoziibua Julai Mosi, wakidai hatua yao ya kuchelewa kuagiza sukari, ilitokana na kucheleweshewa vibali na SBT. Pia waliilalamikia SBT kwamba ilitoa vibali vya uagizaji sukari kwa kampuni zisizostahili, jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

EWURA YAENDELEA KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI SABASABA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SERIKALI kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuhamasisha matumuzi ya nishati safi ya kupikia ili kuendana na Mkakati wa Kitaifa ambao umelenga kuhakikisha Watanzania wanahamia kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia. Hayo yamebainishwa katika viwanja…

Read More

Fadlu Davids arithi mikoba ya Benchikha Simba SC

Kocha Fadlu Davids ametangazwa kuwa kocha mkuu wa Simba SC, baada ya kufikia makubaliano na uongozi wa klabu hiyo. Kocha huyo raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 amesaini mkataba wa miaka miwili kukinoa kikosi cha Simba SC. Kabla ya kujiunga na Simba SC, Fadlu alikuwa kocha Msaidizi wa mabingwa wa soka nchini…

Read More

Kenya yapunguza bajeti kwa shilingi bilioni 177 – DW – 05.07.2024

Kwenye mabadiliko hayo aidha, nusu ya washauri wa serikali watasimamishwa kazi. Haya yamejiri baada ya maandamano ya wiki tatu ya kuishinikiza serikali kufanya mageuzi.  Akilihutubia taifa Ijumaa alasiri, Rais William Ruto alitangaza mabadiliko makubwa serikalini yanayoashiria kulegeza msimamo kufuatia shinikizo za maandamano ya kuipinga serikali. Rais Ruto alisema atawasilisha kwenye bunge la taifa, bajeti iliyopunguzwa kwa…

Read More

Rais Samia atoa sababu kumwondoa Kidata TRA, wadau wafunguka

Dar es Salaam. Uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kumuondoa Alphayo Kidata kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), umetajwa na wadau, unalenga kumuweka karibu zaidi na Rais kwa ajili ya kumshauri namna ya kuyaenenda masuala ya kikodi. Ingawa wengine wanayatazama mabadiliko hayo kwa sura hiyo, baadhi ya wadau wameona kilichofanywa na Rais ni kupunguza vita…

Read More

SHINDANO LA “VODACOM LUGALO OPEN 2024” LAANZA VYEMA

SHINDANO la Wazi la Mchezo wa Gofu “Vodacom Lugalo Open 2024″limeanza rasmi leo kwa Wachezaji wa Ridhaa na wa Kulipwa katika Klabu ya Lugalo Jijini Dar es Salaam. Akizungumza Mapema Leo Julai 05,2024 Viwanja vya Klabu ya Lugalo gofu Jijini Dar es Salaam Meja Japhet Masai Nahodha Wa Klabu Ya Lugalo amesema, Muitikio umekuwa Mkubwa…

Read More