Hiki ndicho anachokipeleka Baleke Yanga

HII sasa sifa. Hizi huenda zikawa taarifa za kushtukiza kwa mashabiki wa soka nchini, kwamba baada ya Yanga kumbeba Clatous Chama kutoka Simba na Prince Dube aliyekuwa Azam, sasa imemshusha kikosini, Jean Baleke aliyewahi kuwika na Wekundu wa Msimbazi miezi sita tu iliyopita,  lakini hiki ndicho anachokwenda nacho Jangwani. Ndio, hivi unavyosoma Mwanaspoti ni kwamba…

Read More

TVLA YATOA ELIMU KWENYE MAONESHO SABASABA

WATAALAM wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) wakiongozwa Mtendaji Mkuu wake Dkt. Stella Bitanyi wameendelea kutoa elimu kuhusiana na huduma mbalimbali zinazotolewa na TVLA katika Maonesho ya 48 ya Biashara Kimataifa ya Dar Es Salaam (Sabasaba) tangu yalipoanza Juni 28, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Julai 13, 2024. Akizungumza katika maonesho hayo Julai 05,…

Read More

Maafande wa jeshi kuonyeshana kazi Dar

Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi, (CDF 2024) yanatarajiwa kuanza Julai 20 na kutamatika Julai 30, 2024 ambapo mechi ya ufunguzi itachezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Akizungumza na waaandishi wa habari Mwenyekiti wa Mashindano, Brigedia Jenerali, Said Hamis Said amesema wamejiandaa vyema na kwamba mashindano hayo yatakuwa ya kuvutia, huku akitaja lengo la…

Read More

Wajasiriamali wapewa mbinu za kutoboa

Dar es Salaam. Wakati tafiti zikionesha wajasiriamali wadogo na wakati wakikabiliwa na changamoto lukuki zinazowafanya wasipige hatua, waaalamu wametoa suluhuhisho ya kukabiliana na changamoto hizo. Ukosefu wa mitaji, ukosefu wa masoko ya uhakika ya bidhaa yao, kukosa maarifa na elimu ya fedha ni miongoni mwa changamoto zinazotajwa kudumuza sekta hiyo endapo hatua mathubuti hazitachukuliwa. Hatua…

Read More

Tamasha la Utamaduni na Utalii laanza kwa kishindo Bariadi

Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa-Lake Zone Cultural and Tourism Festival limeanza Mjini Bariadi kwa kishindo huku Wizara ya Maliasili na Utalii ikisema itaendelea kuwekeza katika utalii wa utamaduni ili kuutangaza zaidi utamaduni wa Kitanzania. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Dunstan Kitandula wakati wa ufunguzi rasmi wa Tamasha la…

Read More

Ushahidi kinzani wa mtoto ulivyomnusuru mfungwa maisha jela

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imemuachilia huru mkazi wa Nyarugusu wilayani Kasulu Mkoa wa Kigoma, Alonda Ekela aliyekuwa akitumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la ubakaji, baada ya kubaini kuwa ushahidi uliotolewa na mashahidi wawili ulikuwa ukipishana. Katika kesi ya msingi, Alonda alishtakiwa kwa kosa la ubakaji chini ya kifungu cha 5(2) (e)…

Read More

Polisi yaanika uchunguzi dhidi ya aliyekuwa RC Simiyu

Mwanza. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema Jeshi hilo leo Julai 5, 2024 limepokea taarifa za uchunguzi wa vielelezo kuhusu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda anayedaiwa kumlawiti Tumsime Ngemela. Amesema taarifa hizo wamezipokea kutoka maabara za uchunguzi wa kisayansi. Kamanda Mutafugwa amesema hayo saa chache baada ya Tumsime…

Read More

Serikali yatoa msimamo sakata la Sukari

*Yasema haina mpango wa kuhujumu sekta hiyo *SBT yasema milango iko wazi kwa wanye malalamiko Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu hali ya sukari nchini na kueleza kuwa haina mpango wa kuhujumu sekta hiyo. Serikali inafanya jitihada kuhakikisha sukari inapatikana ya kutosha kwa bei nafuu. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa, Julai 5,…

Read More

Rais Samia: Nilimuondoa Kidata kwa sababu atadata

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa sababu za kumuondoa aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata kwa kusema aliona mwisho wa siku ‘atadata’ (atachanganyikiwa). Samia amesema “Kidata alifanya kazi nzuri lakini niliona atadata, sasa nakupeleka wewe kijana wa Dar es Salaam mtoto wa mjini uhuni wote uliopo TRA umeufanya…

Read More

Rais Samia akerwa waziri, katibu mkuu kuparurana

RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kukerwa na ugomvi kati ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde na aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo Kheri Abdul Mahimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema haelewi ni kwanini waziri na katibu mkuu wake wanagombana na wanagombea kitu gani wakati kila mtu ana majukumu yake. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara…

Read More