Bodi ya Sukari yatoa msimamo wa Serikali

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital BODI ya Sukari nchini Tanzania imesema msimamo wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwalinda wananchi, wakulima, wawekezaji na wadau wengine muhimu kwa kuhakikisha inafanya maboresho makubwa kwa maslahi ya Watanzanaia wote. Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari Tanzania, Profesa Kenneth Bengesi, akizungumza na wahariri na waandishi wa habari….

Read More

Rais Ruto atangaza uamuzi mzito, afuta bajeti wenza wa viongozi

Nairobi. Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza kupunguza bajeti kwa Sh177 bilioni kuziba pengo litakalotokea baada ya kutosaini Muswada wa Fedha 2024. Kupitia hotuba yake aliyoitoa Ikulu leo Ijumaa, Julai 5, 2024 jijini Nairobi amesema Serikali itawasilisha pendekezo bungeni kupunguzwa kwa matumizi makubwa baada ya kutosaini muswada uliolenga kukusanya Sh346 bilioni ikiwa ni kodi mpya….

Read More

Tumechoka kukopa, Mwenda kazibe mianya

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Kamishna mpya wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda kwenda kutumia kuziba mianya ya ukwepaji kodi kwa sababu vichochochoro vyote anavijua. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema Serikali ya Tanzania imechoka kunyanyasika kukopa kutoka kwa washirika mbalimbali wa maendeleo ilihali makusanyo yam waka mmoja kutoka kwenye soko la Kariakoo…

Read More

Bodi ya sukari, wazalishaji jino kwa jino

MVUTANO wa utoaji wa vibali za sukari na nakisi umeendelea kushika kasi, baada ya Bodi ya Sukari Tanzania (SBT) kueleza kuwa wazalishaji hawasemi ukweli juu ya hali iliyotokea mwaka jana na mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Balozi Ami Mpungwe Kauli hiyo ya SBT inakuja siku chache baada ya Umoja wa Wazalishaji Sukari Tanzania…

Read More

MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA MAENDELEO TIB ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA FEDHA SABASABA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo Tanzania – TIB, Bi. Lilian Mbassy, (kushoto), akipokea chapisho kutoka Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma (PPAA), alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji…

Read More