Waziri Mkuu Uingereza abwagwa, Labour washinda

Uingereza. Chama cha Labour kimeshinda Uchaguzi Mkuu wa Uingereza 2024 baada ya kufikisha viti 409 kikipita idadi ya viti 326 vinavyohitajika. Ushindi wa Labour umeacha pigo kubwa kwa Chama cha Conservative kilichopata viti 113, likiwa ni anguko kubwa katika historia yao. Waziri Mkuu wa Uingereza, aliyepo madarakani Rishi Sunak amesema anakubali kuwajibika kwa kushindwa katika…

Read More

Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yadhihirisha ukuaji wa Teknolojia Tanzania

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Mosses Kusiluka, amesema kuwa Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya mwaka 2024 yameonesha kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika ukuaji na matumizi ya teknolojia. Amesema hayo Julai 4, 2024, alipotembelea maonesho hayo yanayofanyika katika Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa. Dk. Kusiluka alibainisha…

Read More

Labour wahitimisha safari ya miaka 14 utawala wa Conservative UK

Chama cha Labour kimeshinda rasmi uchaguzi mkuu wa Uingereza 2024 uliofanyika jana Alhamisi baada ya kufikisha viti 326 vinavyohitajika. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endele). Katika matokeo yaliyopitiwa na mashirika mbalimbali ya habari yanaashiria kuwa chama cha Labour kinachofuata siasa za mrengo wa kati kushoto kimepata viti 410 kati ya 650 bungeni, huku wahafidhina wa mrengo…

Read More

WASHIRIKI WA MAFUNZO IAWP WAPATA MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Baadhi ya washiriki wa Mafunzo kwa askari wakike ukanda wa Afrika IAWP ambayo yanaendelea Abuja Nchini Nigeria wamesema kutoka na changamoto kubwa kwa baadhi ya watu wengi wanaokabiliwa na Afya akili wanakwenda kupambana na changamoto hiyo kutokana mafunzo waliyoyapata. Akiongea mara baada ya Mafunzo hayo Julai 03,2024 Jijini Abuja Nchini Nigeria Naibu Kamishna wa Polisi…

Read More

UN inakusanya dola milioni 4 kwa ajili ya kukabiliana na Kimbunga cha Beryl katika Karibiani – Masuala ya Ulimwenguni

Kimbunga cha Beryl, kimbunga kikali zaidi katika historia kuanzishwa mwezi Juni katika Bahari ya Atlantiki, ilifanya uharibifu ilipokumba Grenada, Saint Vincent na Grenadines na Jamaika. Hapo awali, hali ya unyogovu ya kitropiki, Beryl iliongezeka kwa kasi na kuwa kimbunga cha Kitengo cha 4 na kufikia daraja la 5 kwa muda mfupi, na upepo wa hadi…

Read More