TARURA WEKENI VIVUKO, BARABARA ZA PEMBEZONI NA TAA KWA USALAMA WA WATUMIAJI WA BARABARA – MHA. MATIVILA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Miundombinu) Mhandisi Rogatus Mativila ameilekeza TARURA kuweka alama za vivuko vya watembea kwa miguu, barabara za pembezoni za watembea kwa miguu, taa za barabarani pamoja na za kuongozea magari kwa ajili ya usalama wa watumiaji wa barabara mpya ya mwangaza inayounganisha kisasa na medeli. Mhandisi Mativila ametoa maelekezo hayo…

Read More

Aliyechoma Moto Picha ya Mhe, Rais Sania Suluhu Hassan Jela Miaka Miwili – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mahakama ya wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, imemhukumu kwenda jela miaka miwili au faini ya milioni 5 Shadrack Chaula kijana ambaye video yake ilisambaa mitandaoni akimkashifu na kuchoma picha inayomuonesha Rais Samia Suluhu Hassan Ikumbukwe kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamin Kuzaga,Julai 2 mwaka huu ilieleza kuwa…

Read More