NIC yavuka mipaka ya nchi kutoa huduma za Bima

*Ni katika soko la COMESA la nchi 13 Na Mwandishi Wetu NIC Insurance imeweka mkakati wa kuongeza wigo wa huduma katika kufika kila sehemu yenye mahitaji kwa kuvuka nje ya mipaka zilizo na ushirikiano na nchi yetu. Katika kutanua uwigo huo sasa NIC insurance imekuja na huduma ya Bima ya COMESA inapatikana katika matawi yote…

Read More

Kampuni ya DL GROUP kulipa wafanyakazi ndani siku saba

MWEKEZAJI wa viwanda na mashamba ya chai yaliyopo mkoani Iringa na Njombe amesema Kampuni ya DL Group ipo mbioni kulipa mishahara ya miezi miwili kwa wafanyakazi wake wote wa viwandani na mashambani ndani ya siku saba kuanzia leo tarehe 4 Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Njombe…(endelea). Akizunzungumza na  waandishi wa habari leo Alhamisi miongoni mwa…

Read More

TET YATOA ELIMU KUHUSU MUUNDO WA MTAALA MPYA WA ELIMU SABASABA

TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imeendelea kutoa elimu kuhusu muundo wa mtaala mpya wa elimu ulioboreshwa katika Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika Maonesho hayo leo Julai 4, 2024, Mkuza Mitaala kutoka TET, Augusta Kayombo amesema watanzania watakaofika…

Read More

Jaji Warioba akosoa ‘uchawa’ kwenye vyombo vya habari

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amevitaka vyombo vya habari kujikita katika kutoa habari zinazowahusu wananchi zaidi badala ya viongozi. Kwa mujibu wa Jaji Warioba, hivi sasa kumejitokeza baadhi ya vyombo vya habari ambavyo vimegeuka kuwa vya propaganda. Jaji Warioba aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, amesema chombo chochote…

Read More

Tamasha la Utamaduni na Utalii kutimua vumbi Bariadi

Baadhi ya wapiga ngoma na waimbaji kutoka Makundi ya Wagika na Wagulu wakipasha ili kujiandaa na Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa. Hatimaye Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa – Lake Zone Cultural and Tourism Festival lililokuwa linasubiriwa kwa hamu sasa linatarajiwa kuanza rasmi kesho Julai 5, 2024 Tamasha hilo la…

Read More