Mrithi wa Inonga Simba yupo hapa!

SIMBA inaendelea kusajili majembe mapya, ikiwamo jana kumtambulisha Abdulrazak Hamza kutoka Cape Town City ya Afrika Kusini sambamba na mrithi wa Clatous Chama, nyota kutoka Ivory Coast, Ahoua Jean Charles na sasa inapambana kushusha beki wa kuziba nafasi ya Henock Inonga aliyetua FAR Rabat ya Morocco. Mezani kwa mabosi wa Simba ina majina manne ya…

Read More

TARURA WEKENI VIVUKO, BARABARA ZA PEMBEZONI NA TAA KWA USALAMA WA WATUMIAJI WA BARABARA – MHA. MATIVILA

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Miundombinu) Mhandisi Rogatus Mativila ameilekeza TARURA kuweka alama za vivuko vya watembea kwa miguu, barabara za pembezoni za watembea kwa miguu, taa za barabarani pamoja na za kuongozea magari kwa ajili ya usalama wa watumiaji wa barabara mpya ya mwangaza inayounganisha kisasa na medeli. Mhandisi…

Read More

Kuwekeza kwa Walimu, Viongozi wa Shule Muhimu katika Kuwaweka Wasichana Shuleni Matokeo ya Utafiti wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika — Masuala ya Ulimwenguni

Wasichana wa Shule ya Wasichana ya Dabaso huko Malindi, Kenya, wakipiga picha na mpira wakati wa mapumziko. Elimu ya sekondari kwa wote inaweza kukomesha ndoa za utotoni na kupunguza uzazi wa mtoto kwa hadi robo tatu, kulingana na ripoti ya Umoja wa Afrika na UNESCO. Credit: Kwa Hisani ya Stafford Ondego kwa EDT PROJECT by…

Read More

Baleke, Yanga jambo lao lipo hivi

HIZI huenda zikawa taarifa za kushtukiza kwa mashabiki wa soka nchini, kwamba baada ya Yanga kumbeba Clatous Chama kutoka Simba na Prince Dube aliyekuwa Azam, sasa inafanya mipango ya kumshusha kikosini, Jean Baleke aliyewahi kuwika na Wekundu wa Msimbazi hata miezi sita tu iliyopita. Ndio, hivi unavyosoma Mwanaspoti ni kwamba kuna uwezekano wa asilimia 99…

Read More

Latra yabuni mfumo kuonyesha safari ya abiria

Dar es Salaam. Ikiwa unatarajia kupokea mgeni anayesafiri kwa basi kutoka mkoa wowote nchini, hutahitaji tena kukaa muda mrefu kituoni, kwani taarifa kuhusu basi zitapatikana kwenye simu yako. Ni baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) kubuni Mfumo wa Habari kwa Abiria (Passenger Information System au Passenger Information Display – PIS). PIS…

Read More

Nkumba achaguliwa mwenyekiti mpya CCM Tabora

Tabora. Mkuu wa Wilaya ya Chato, Said Nkumba amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora kujaza nafasi ya Hassan Wakasuvi aliyefariki ghafla Februari 22, 2024. Wakasuvu alifariki ofisini wakati akimsubiri Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Fadhil Maganya, aliyetarajiwa kufanya ziara siku hiyo katika Mkoa wa Tabora. Kutokana na kifo…

Read More