AKILI ZA KIJIWENI: Mamelodi wameonyesha ukubwa kwa Mokwena

HAIKUONEKANA kama maisha yangeenda kasi kwa kocha wa mpira Rhulani Mokwena baada ya mafanikio aliyoipa Mamelodi Sundowns. Miezi michache iliyopita aliongeza mkataba wa kuitumikia timu hiyo kwa miaka minne zaidi kwa kile ambacho kilitafsiriwa na wengi kwamba kuna imani ya uongozi kwa kocha huyo. Mataji matatu ambayo aliiongoza Mamelodi Sundowns kunyakua msimu uliomalizika yalionekana yangekuwa…

Read More

Viwanja vinne kutumika Ligi ya kikapu Mara

MASHINDANO ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mara yanatarajiwa kuanza Julai 7 mwaka huu, huku katibu mkuu wa chama cha mchezo huo cha mkoa huo, Koffison Pius akitangaza viwanja vinne vitakavyotumika kwa ngarambe hiyo ya kusaka bingwa. Akizungumza na Mwanaspoti kwa njia ya simu kutoka Mara, Pius alitaja viwanja hivyo ni Musoma Matumaini, Chuo cha…

Read More

Ligi ya Kikapu Dar vita yaanza upya

ILE vita ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) imeanza upya wakati mechi za mzunguko wa pili zikitarajiwa kupigwa kwa watetetezi Dar City kuliamsha mbele ya Ukonga Kings. Mchezo huo wa kibabe, utapigwa kwenye Uwanja wa Don Bosco Oysterbay keshokutwa Jumapili, utafuatiwa na michezo mingine mitano itakayowapa burudani mashabiki wa mchezo wa…

Read More

Shinikizo laiandama serikali ya Kenya kutuliza maandamano – DW – 04.07.2024

Hali imeanza kurejea ya kawaida katika jiji kuu la Nairobi kufuatia siku kadhaa za purukushani na maandamano yaliyowaua zaidi ya 40. Tofauti na ilivyokuwa Jumanne wiki hii pale polisi walipovurugana na waandamanaji, eneo la katikati ya jiji lilikuwa tulivu huku maafisa wa usalama wakipiga doria.  Waandamanaji 187 waliokamatwa wakati wa purukushaniwameachiliwa kwa dhamana. Kwa mujibu…

Read More

Nida yawaita wenye vitambulisho vya Taifa visivyo na ubora vichapwe upya

Dodoma. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) imeanza kuchapa upya vitambulisho vilivyochapishwa chini ya kiwango, hivyo imewataka wenye navyo kuviwasilisha katika ofisi zake zilizo karibu nao vichapwe upya. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Julai 4, 2024 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Nida, Geofrey Tengeneza alipozungumza na Mwananchi. Amesema hatua hiyo imetokana na malalamiko kutoka kwa…

Read More