KESI YA MAUAJI: Daktari aeleza mtoto Masumbuko alivyofariki kwa kukosa hewa

Geita. Shahidi wa sita katika shauri la mauaji linalomkabili Zephania Ndalawa, anayeshtakiwa kwa kumuua kwa kukusudia Thomas Masumbuko, ameieleza Mahakama namna alivyokuta mwili wa marehemu ukiwa na kinyesi na mkojo huku ulimi ukiwa umetoka nje. Shahidi huyo, Clever Shaban ambaye ni Ofisa Tabibu katika Zahanati ya Senga iliyopo wilayani Geita, aliyeufanyia uchunguzi mwili wa marehemu,…

Read More

Ishu ya Beno tatizo ni msimamo

ALIYEKUWA kipa wa Singida BS, Beno Kakolanya amemaliza utata, akisema misimamo yake imekuwa ikimponza kwa watu wakimchukulia kama mtovu wa nidhamu. Beno aliyeondoka Singida kiutata dakika za lala salama za Ligi Kuu Bara, kwa kilichoelezwa ni utovu wa nidhamu wakati chama hilo likiwa na mechi ngumu dhidi ya Yanga, aliliambia Mwanaspoti kuwa, yeye ni mchezaji…

Read More

Shule ya Kamsamba, Tunduma day zapata wenyeviti wapya

WAJUMBE wa kamati ya bodi ya shule ya sekondari ya Kamsamba na shule ya kutwa ya  Tunduma zinazomilikiwa na jumuiya ya wazazi (CCM) mkoani Songwe wamewachagua wenyeviti watakaoongoza vikao vya shule hizo. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe…(endelea). Uchaguzi huo umefanikiwa leo tarehe 4 Juni 2024 katika shule ya sekondari ya kutwa iliyopo halmashauri ya mji Tunduma…

Read More

Wizara ya Fedha na Kamati ya Dira WAKUTANA

Wizara ya Fedha ni Wizara muhimu katika maendeleo ya Taifa na ufanikishaji wa Maazimio ya Dira ya Taifa ya Maendeleo  Nchini, kwa kuzingatia hilo jana  Kamati  ya usimamizi wa Dira.  Wajumbe wa Tume ya Mipango na Timu ya kitaalamu na uandishi wa dira ya Maendelo 2050 , walikutana kuweza kupata picha kamili ya walipotoka na…

Read More

Mwanza sasa kuwa na Uwanja wa Gofu

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amethibitisha kwamba Serikali imeanza mchakato wa kuwezesha ujenzi wa uwanja wa gofu katika jiji la Mwanza ili liendane na hadhi ya majiji mengine duniani kwani mchezo huo huvutia utalii wa michezo. Akizungumza jana  jijini hapa, Dk Ndumbaro alisema ameshafanya mazungumzo na wataalam kutoka PGA Legend Golf…

Read More