Taifa Stars yapewa DR Congo kufuzu Afcon 2025

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imepangwa Kundi H na DR Congo, Ethiopia na Guinea katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika ‘Afcon’ 2025 ambazo zitafanyika Morocco. Mchujo wa kuwania kufuzu michuano hiyo ulianzia hatua ya awali Machi 21 hadi 26 mwaka huu na sasa inakwenda hatua…

Read More

Ziara ya Aweso yaimarisha huduma ya Maji Dar

Hali ya huduma ya maji kwa maeneo mbalimbali katika jiji la Dar es salaam na Pwani imeendelea kuimarika ikienda sambamba na ziara ya kikazi ya Waziri wa Maji, Mhe.Jumaa Aweso (Mb) iliyohitimishwa leo, Julai 4,2024 katika Wilaya za Kigamboni na Kinondoni. Katika ziara hiyo Mhe. Aweso alitembelea maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na mitambo ya…

Read More

Aweso amtwisha zigo bosi mpya Dawasa

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametoa maagizo matano kwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), Mkama Bwire ikiwemo kushughulikia changamoto ya mishahara kwa wafanyakazi. Mengine ni ukamikishaji wa ujenzi wa Ofisi ya Dawasa Kigamboni, kutafuta mambomba na kuwaunganishia maji wananchi, kuwapatia usafiri…

Read More

MAANDALIZI YA SIKU YA KISWAHILI COMORO YAIVA

Balozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu amewahimiza wapenzi wa lugha ya Kiswahili nchini Comoro kujitokeza kwa wingi Siku ya Jumapili ili kukienzi Kiswahili katika Hafla Rasmi waliyoandaa kwenye Ukumbi wa Bunge mjini Moroni. Balozi Yakubu aliwaeleza waandishi wa habari kuwa maandalizi yote ya Maadhimisho hayo yamekamilika ambapo Gavana wa Kisiwa cha Ngazidja yalipo makao makuu…

Read More