Benki ya NMB yazipiga Tafu Shule Mbili za Sekondari Mkoani Dar es Salaam, yakabidhi Meza 90 na Viti 90 Vyenye Thamani ya Shilingi Milioni 10
Na Mwandishi Wetu; Benki ya NMB imekabidhi meza 90 na viti 90 venye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 kwa mbili mkoani Dar es Salaam zikiwa ni Shule ya Sekondari ya Uhamiaji iliyopo Wilaya ya Temeke na Shule ya Sekondari iliyopo wilaya ya Temeke ikiwa ni utekelezaji wa azma ya benki hiyo kuboresha ya…