Benki ya NMB yaweza Kukopesha hadi Sh. Bilioni 515 Kwa Mkupuo Mmoja ‘Single Borrower Limit’ – MWANAHARAKATI MZALENDO

NA MWANDISHI WETU; Kupitia Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Tanzania, yanayoendelea jijini Dar es Salaam, Benki ya NMB imeeleza ina uwezo wakukopesha hadi Sh.Bilioni 515 kwa mkupuo mmoja ‘single borrower limit’ kwa sababu yakufanya vizuri kwenye soko la Tanzania. Hayo yamesemwa na Meneja wa NMB Tawi la Sabasaba, Bi. Kidawa Masoud, katika banda…

Read More

Serikali ya Angola inazidi kushambulia demokrasia – DW – 04.07.2024

Mwanaharakati Florindo Chivucute ametoa mwito kwa Rais Joao Lourenco wa kuendeleza demokrasia nchini Angola kwa manufaa ya watu wote wa nchi hiyo. Katika mwito huo mwanaharakati Chivucute amesema rais Joao anapaswa kuubadilisha mwelekeo wa nchi na kwamba hawezi kuendelea kuongoza kama jinsi ilivyokuwa mnamo miaka iliyopita. Soma pia: Upinzani Angola wawasilisha shauri kupinga matokeo ya urais Inapasa…

Read More

Theresa, Gaguti waula soka la wanawake Mwanza

WIKI chache baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Soka la Wanawake (TWFA) Mkoa wa Mwanza, Sophia Tigalyoma amefanya uteuzi wa nafasi tano kikatiba na kukamilisha safu yake ya uongozi atakayofanya nayo kazi kusimamia soka hilo mkoani hapa. Tigalyoma alichaguliwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika Juni 8, mwaka huu jijini hapa, akishinda pamoja na…

Read More

NIONAVYO: Usajili wa ‘galacticos’, kibiashara bado si poa

TANZANIA ni moja ya nchi za Kiafrika zinazosifika kwa kununua magari yaliyotumika hasa yale ya Kijapani na zaidi ya kampuni ya Toyota. Unaweza kutembea siku nzima usipate gari la Kijapani lililonunuliwa likiwa jipya. Pamoja na kwamba magari hayo yametumika, kwa mtu wa kawaida kama mimi atapata mtihani kuyatofautisha na yale yaliyonunuliwa yakiwa ‘zero kilometer’ kwani…

Read More

Mahakama yaitahadharisha Serikali kuchelewesha kesi ya ‘Boni Yai’, Malisa

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeitahadharisha Jamhuri kutokana na kukwamisha usikilizwaji wa awali wa kesi inayomkabili mfanyabiashara na mwanasiasa, Boniface Jacob na mwenzake, mwanaharakati Godlisten Malisa, ikisema inatoa ahirisho la mwisho. Jacob, maarufu Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam na Malisa, mkazi wa Moshi, mkoani…

Read More