Dk.Mwinyi akutana na Rais wa Msumbiji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema uhusiano uliopo kati ya Msumbiji na Tanzania ni wa ukaribu na urafiki. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe: 4 Julai 2024, alipokutana na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi aliyefika Ikulu Zanzibar kumuaga baada ya kumaliza ziara…

Read More

NMB yakopesha bilioni 585 kwa mwaka 2023/2024

IMEELEZWA kuwa mazingira bora ya biashara yaliyopo nchini yameiwezesha Benki ya NMB kutoa mikopo ya zaidi ya Sh 585 bilioni katika kipindi cha kuanzia Julai 2023 hadi Mei 2024. Pia benki hiyo imeeleza kuwa na uwezo wa kukopesha hadi Sh 515 bilioni kwa mkupuo mmoja ‘single borrower limit’ kutokana na kufanya vizuri kwenye soko la…

Read More

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anakaribisha maendeleo ya kidemokrasia kati ya vurugu za kutisha – Masuala ya Ulimwenguni

Maria Isabel Salvador, Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Haiti, akitoa maelezo kwa mabalozi katika mkutano huo. Baraza la Usalamakuangazia ufungaji wa Baraza la Urais wa Mpito mwezi Aprili na kuapishwa kwa Waziri Mkuu wa muda na serikali mpya mwezi Juni kama “viashiria vya wazi vya maendeleo.” Haiti imejiingiza katika mzozo…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa kumuua, kumzika mumewe aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Sumbawanga, imemwachia huru Limi Shija, mkazi wa Kijiji cha Kabage, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kumuua na kumzika mumewe, Masunga Kashinje, baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa hilo bila kuacha shaka. Ilidaiwa kuwa mauaji hayo yalitokana na ugomvi baina ya wanandoa hao kuhusu mashamba na ng’ombe kadhaa…

Read More