UDOM kuongeza nguvu katika tafiti zinazotatua changamoto kwenye jamii

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimesema kimejielekeza kufanya tafiti zinazotoa majibu ya changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii kuhakikisha kunakuwa na ustawi kwa Watanzania. Akizungumza Julai 3,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa maarufu Sabasaba Naibu Makamu Mkuu wa chuo hicho (Mipango, Fedha na Utawala), Profesa Wineaster Anderson, amesema tafiti…

Read More

Gaza 'imegawanyika sehemu mbili' huku raia, wafadhili wakirudisha maisha, juhudi za misaada – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza kwa njia ya video kutoka Jerusalem, Andrea De Domenico, mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu (OPT), walisema watu wamelazimika “kurekebisha maisha yao tena na tena.” “Watu, katika kipindi cha miezi tisa iliyopita, wamehamishwa kama 'vibao kwenye mchezo wa bodi'…

Read More

MSHOMBA AFICHUA SIRI MAFANIKIO YA NSSF

*Asema mazingira mazuri ya uwekezaji chini ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia yamechochea mafanikio  Na MWANDISHI WETU, Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba amefichua siri ya mafanikio makubwa ambayo NSSF imeyapata kuwa yamechangiwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa…

Read More

NAIBU WAZIRI KAPINGA AWAHAKIKISHIA UMEME WA UHAKIKA WANANCHI WA VIJIJI VYA MANZWAGI NA KIDUNYASHI.

Naibu Waziri wa Nishati. Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia amewaelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaongeza nguzo 40 ambazo ni Sawa na kilometa mbili kwa wananchi wa vijiji vya Manzwagi na Kidunyashi kabla ya tarehe 27 Julai, 2024….

Read More