RC Mtanda aipa mbinu ATCL kuhimili soko la ushindani

Mwanza. Wakati Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) likitarajia kupokea ndege mpya aina ya Boeing 787- 8 Dreamliner, shirika hilo limeshauriwa kuboresha huduma kwa wateja na kuongeza idadi ya safari ili kuvutia wateja na kustahimili kwenye soko la usafirishaji wa anga nchini. Wito huo umetolewa leo Jumatano Julai 3, 2024, na Mkuu wa Mkoa wa…

Read More

CBE YAPONGEZWA KWA MAFANIKIO MAKUBWA NDANI YA MIAKA 60

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah amekipongeza Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa mafanikio yake ndani ya miaka 60 na kusisitiza umuhimu wa Chuo hicho katika kutoa elimu bora ya biashara na kuandaa wataalamu wenye ujuzi. Pongezi hizo amezitoa leo Julai 3, 2024 wakati…

Read More

Kocha mpya Simba huyu hapa, kutua Ijumaa na fulu mziki

UONGOZI wa klabu ya Simba umempa mkataba wa miaka miwili aliyekuwa kocha msaidizi wa Raja Casablanca, Fadlu David anayeelezwa atatua nchini Ijumaa sambamba na wasaidizi wake. Kocha huyo ambaye amethibitisha ujio wake Tanzania baada ya kutumia ukurasa wake mtandao wa kijamii ‘Instagram’ kuwaaga viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu aliyokuwa akiifundisha. “Ulikuwa ni wakati mzuri,…

Read More

DKT.DIMWA : ATAJA KIPAUMBELE CHA CCM

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akizungumza na wanachama wa CCM wa Shina namba 12 Jimbo la Chumbuni Zanzibar. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akizungumza na wanachama na wananchi kwa ujumla katika Tawi la CCM Masumbani Unguja. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi…

Read More

Watanzania wapewa mbinu kupata fursa za Kiswahili kimataifa

Dar es Salaam. Wataalamu wa lugha ya Kiswahili wamewataka Watanzania wenye uweledi katika taaluma ya Kiswahili kujisajili katika kanzi data ya Baraza la Kiswahili la Taifa (Bakita) ili zinapotokea fursa mbalimbali zinazotokana na kukua kwa lugha hiyo iwe rahisi kuwafikia. Fursa hizo ni pamoja na ufundishaji wa lugha hiyo katika nchi mbalimbali, Tafsiri na Ukalimani…

Read More