WATUMISHI WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS WAASWA KUSIMAMIA VYEMA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU ZA MAZINGIRA
Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewaasa watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais kufuatilia na kusimamia vema utekelezaji wa Programu mbalimbali za mazingira zilizoandaliwa ili kufikia azma ya kuhifadhi na kulinda mazingira kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Makamu wa Rais…