Wananchi wahofia kulipuka volcano Kigoma
Kigoma. Mwenyekiti wa Kijiji cha Pamila, Wilaya ya Kigoma, Obedi Tuwazaniwe ameeleza namna tope linalozaniwa kuwa volcano lilivyozua taharuki kwa wakazi wa kijiji hicho, huku mtaalamu wa jiolojia mkoa akiwatoa hofu wananchi. Tuwazaniwe amezungumza jana Julai 2, 2024 mbele ya kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo ilikwenda kujionea hali halisi kwenye eneo hilo….