‘Serikali itaendelea kusimamia, kukuza uadilifu wa maadili’- Dkt Biteko
📌Azitaka taasisi za dini kushirikisha Serikali kusimamia maadili 📌Wizara ya Maendeleo ya Jamii Shirikisheni wadau 📌Azitaka taasisi za umma na Serikali kuwa mfano bora kwenye jamii kuhusu maadili 📌Asisitiza maadili kupewa kipaumbele katika Mtaala wa Elimu Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali itaendelea kusimamia na kukuza uadilifu wa maadili kama…