POLISI HANDENI WAPONGEZA MAFUNZO USALAMA BARABARANI KWA BODABODA

Na Mwandishi Wetu, Handeni JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, limesema ipo haja kwa waendesha bodaboda wilayani humo kuendelea kupatiwa mafunzo ya usalama barabarani kupunguza ajali. Akizungumza wakati wa mafunzo ya usalama barabarani kwa waendesha bodaboda zaidi ya 160, Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Handeni…

Read More

TUME YA MADINI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WADAU WA MADINI

Tume ya Madini leo Julai 03, 2024 imeendelea kutoa elimu kwa wadau wa madini katika Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam. Elimu imetolewa katika maeneo ya usimamizi/udhibiti wa Sekta ya Madini na ukusanyaji wa mapato ya Serikali yatokanayo na tozo mbalimbali zinazotokana na shughuli za madini, utoaji na usimamizi wa leseni…

Read More

Mambo sita yaliyombeba Mwenda ZRA, yanayomsubiri TRA

Unguja. Wakati Yusuph Mwenda akiteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), mambo sita yanatajwa kumbeba katika ufanisi na kuimarisha mapato wakati akiwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) ikiwa ni pamoja na kujenga ukaribu na wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari. Mwenda anakuwa bosi wa TRA baada ya aliyekuwa anashikilia nafasi…

Read More

MAJALIWA AMPONGEZA ASKOFU PISA KWA KUCHAGULIWA KUWA RAIS WA  TEC

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anasisitiza ufanyaji kazi kwa ushirikiano kati ya Serikali na Taasisi za Dini nchini ili kuendelea kujenga amani, umoja na mshikamano. Amesema kuwa Serikali inatambua mchango mkubwa unaotolewa na Taasisi hizo ambao huleta matokeo chanya kwa ustawi wa Taifa. “Tunashukuru tunapata ushauri, yapo mambo ambayo…

Read More

Kesi za mauaji kuendelea kuunguruma Geita leo

Geita. Wakati Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Geita ikiendelea na kikao cha pili cha kesi za mauji hapa Mjini Geita leo, tayari kesi mbalimbali zimesikilizwa na kutolewa hukumu ikiwemo ya Anold Shemasi aliyedaiwa kumuua mtoto wake mchanga kwa kutofanana nae.  Mahakama hiyo ilimehukumu kunyongwa hadi kufa Shemas, baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua…

Read More