Aweso Akagua tenki la kuhifadhi Maji Kibamba saa tisa usiku

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amefanya ukaguzi wa kushtukiza saa tisa usiku katika tenki la kuhifadhi maji Kibamba na kushuhudia maji yakiwa yamejaa ikilinganishwa na hali aliyoikuta juzi tar.1 July alipokuta tenki halina Maji kabisa, Waziri Aweso amesema kwamba hakuna sababu ya wananchi kukosa huduma ya maji na yaendelee kusukumwa kwa kasi hiihii na…

Read More

Gaza ni 'maelstrom ya taabu ya binadamu' – Global Issues

Huduma za umma zimeporomoka na zaidi ya milioni 1.9 sasa wamekimbia makazi yao, aliwaambia mabalozi katika Baraza la Usalamaikisisitiza hitaji muhimu la usitishaji vita kamili, wa haraka na kamili, kuachiliwa kwa mateka wote na usaidizi usiozuiliwa katika eneo lote. “Vita hivyo havijaleta janga la kibinadamu tu, bali vimeibua msukosuko wa taabu za wanadamu.,” alisema. Sheria…

Read More

Kesi za mauaji ya Mielembe kuendelea kunguruma Geita leo

Geita. Wakati Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Geita ikiendelea na kikao cha pili cha kesi za mauji hapa Mjini Geita leo, tayari kesi mbalimbali zimesikilizwa na kutolewa hukumu ikiwemo ya Anold Shemasi aliyedaiwa kumuua mtoto wake mchanga kwa kutofanana nae.  Mahakama hiyo ilimhukumu kunyongwa hadi kufa Shemas, baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua…

Read More

Chuo cha afya Nobo kuzalisha wataalam wengi wa mionzi

Na mwandishi Wetu Chuo Cha Afya Nobo kilichopo Tabata Segerea Ilala Jijini Dar es Salaam, kimekuja na mkakatiwa kupunguza uhaba wa wataalam wa mionzi hapa nchini kwa kuanzisha kozi ya fani hiyo. Mkuu wa Chuo hicho Michael Mbasha , aliwaambia waandishi wa habari jana kwamba mwakahuu chuo kitafundisha Stashahada ya Uchunguzi wa Magojwa kwa kutumia…

Read More

Kidata na nyota ya uteuzi wa marais watatu

Dar es Salaam. Hii ndiyo safari ya milima na mabonde ya uongozi wa Alphayo Kidata mmoja wa viongozi wa ngazi juu anayehamishwa hamishwa kupelekwa ofisi muhimu za Serikali kuhudumu kwa nyakati tofauti. Jina la Kidata lilianza kuchomoza zaidi mwaka 2013 alipoteuliwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete kuwa Katibu Mkuu wa Wizara…

Read More

Sativa afanyiwa upasuaji kwa saa sita

Dar es Salaam. Mkazi wa Mbezi, jijini Dar es Salaam, Edgar Mwakabela maarufu Sativa aliyetoweka Juni 23 na kupatikana Juni 27 pori la Hifadhi ya  Katavi akiwa na majeraha katika mwili wake, amefanikiwa kufanyiwa upasuaji wa taya la kushoto lililosagika baada ya kudaiwa kupigwa risisa ya kichwa. Sativa alipatikana Juni 27, katika hali mbaya akiwa…

Read More

Mwamuzi afariki akichezesha mechi | Mwanaspoti

Mkoa wa Songwe umeendelea kukumbwa na matukio ya vifo vya wanamichezo wakiwa uwanjani baada ya Julai 2, 2024 mwamuzi Hedman Mwashoga kuanguka na kufariki. Mwamuzi huyo alikuwa akichezesha mechi baina ya Monaco dhidi ya Viena FC kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Msanyila katika mwendelezo wa Ligi ya Kijiji cha Msanyila mkoani humo. Hili ni…

Read More

Mastaa BDL walivyoiteka Taifa Cup

BAADHI ya wachezaji wanaocheza katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) waliocheza katika mikoa mbalimbali kwenye mashindano ya kombe la taifa mjini Dodoma walikuwa kivutio kutokana na kuonyesha ubora. Wachezaji hao ni Haji Mbegu, Ally Faraji (Dar City) walioichezea Unguja na Mwalimu Heri pamoja Evance Davies (Outsiders) walioichezea timu ya Mkoa wa…

Read More

JIWE LA SIKU: Safari ya Chama  ilianzia katika 5-1

BAADA ya muda mrefu wa kuhusishwa kwa muda mrefu kusajiliwa na Yanga, hatimaye mapema Jumatatu, wiki hii Clatous Chama alitambulishwa rasmi na klabu hiyo kama mchezaji wao mpya. Chama amejiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake wa miaka miwili na Simba kufikia tamati, Juni 30 mwaka huu na klabu hiyo kuamua kutomuongezea…

Read More