NEMC YATOA ELIMU YA USIMAMIZI WA TAKA HATARISHI KWENYE MAONESHO SABASABA
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeendelea kutoa elimu ya Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira kwa wananchi ambapo elimu hiyo imehusisha umuhimu wa ulipaji wa Ada za Mazingira, usimamizi wa taka hatarishi na athari zake, matumizi salama ya Kemikali ya Zebaki kwa Wachimbaji Wadogo wa dhahabu pamoja na umuhimu wa kutenganisha…