Rais Samia amchangia Sativa Sh35 milioni

Dar es Salaam. Wakati Mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam, Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa akiendelea na matibabu aliyoyapata baada ya kutekwa, Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa miongoni mwa waliojitokeza kumchangia Sh35 milioni za matibabu. Taarifa za mchango huo zimetolewa kupitia ujumbe uliochapishwa na Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),…

Read More

NELSON MANDELA MARATHON KUHAMASISHA MASOMO YA SAYANSI KWA WASICHANA

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof Maulilio Kipanyula akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo katika picha) wakati alipokuwa akitambulisha mbio za masafa marefu za Nelson Mandela (Nelson Mandela Marathon) zinazotarajiwa kufanyika September 22, 2024 katika kampasi ya Tengeru Arusha. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi Nelson Mandela Marathon…

Read More

DISEMBA 30, DARAJA LA JPM (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG AMBROSE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita 1.66 linatarajiwa kuanza kutumika Tarehe 30 Disemba 2024 likiunganisha Barabara Kuu ya Usagara – Sengerema – Geita zenye urefu wa Kilomita 90. Daraja hilo linajengwa Urefu wa kilometa 3.0 Upana meta 28.45; unaojumuisha njia mbili (2) za Magari (Carriageways)…

Read More

Mke asimulia wasiojulikana walivyomteka mumewe

Handeni. “Niliamka asubuhi nikaanza kufanya usafi, akaja mtu mmoja akawa anazunguka hapa nyumbani kwetu, tukasalimiana, akaniuliza “huu msingi (wa nyumba) anayepandisha ni nani”? Nikajibu mama na mume wangu wanajenga hapa, akataka kuniuliza maswali zaidi, nikamwambia anisubiri nimuite mhusika. “Nikaingia ndani nikamwambia mume wangu kuna mtu yupo nje nimemuona anazungukazunguka hapa nyumbani, ila simfahamu lakini anaulizia…

Read More