Majiha katika nyakati za kudhihirisha umwamba wake

JULAI 20, mwaka huu bondia namba moja nchini ‘Tanzania One’ Fadhili Majiha maarufu Kiepe Nyani atapanda ulingoni kutetea Mkanda wa ubingwa wa Baraza la Ngumi Duniani kwa Tawi la Afrika ‘WBC Afrika’ ambalo limepangwa kufanyika katika Jiji la Mbeya. Majiha atapanda ulingoni kwenye pambano hilo dhidi ya Sabelo Ngebinyana wa Afrika Kusini katika pambano litakalokuwa…

Read More

Aliyehukumiwa kunyongwa, sasa afungwa miaka 15

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyohukumiwa Chipukizi Chondi, mkazi wa Kigoma kwa kosa la mauaji na sasa atatumikia kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kuua bila kukusudia. Mahakama hiyo imesema imezingatia ushahidi wa mazingira kuhusiana na mauaji katika shauri hilo, hivyo imemhukumu kifungo hicho kilichoanza kuhesabiwa tangu alipotiwa…

Read More

Lebron amsubiri Klay Killers Lakers

DIRISHA la usajili kwa wachezaji huru (free agents) lipo wazi kwa sasa kwenye Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), ambapo wachezaji wanatoka timu moja na kwenda nyingine na hata zaidi ya timu moja kupitia mabadilishano. Usajili unaosubiriwa zaidi  ni ule wa Klay Thompson ‘Killer’ kujiunga na Los Angeles Lakers ya LeBron James ambaye inaelezwa kuwa yupo…

Read More

DISEMBA 30, 2024 DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG PASCHAL AMBROSE

Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita 1.66 linatarajiwa kuanza kutumika Tarehe 30 Disemba 2024 likiunganisha Barabara Kuu ya Usagara – Sengerema – Geita zenye urefu wa Kilomita 90. Daraja hilo linajengwa Urefu wa kilometa 3.0 Upana meta 28.45; unaojumuisha njia mbili (2) za Magari (Carriageways)…

Read More