Rais Samia kugharamia matibabu ya kijana aliyetekwa

Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye binafsi atabeba gharama zote za matibabu ya kijana Edgar Mwakabela, maarufu kama Sativa anayedaiwa kutekwa, kuteswa na kutupwa katika pori la Hifadhi ya Katavi akiwa na majeraha mbalimbali mwilini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Sativa ambaye anaendelea na matibabu katika hospitali ya Aga Khan kuanzia usiku wa tarehe 30…

Read More

MOI yapokea majeruhi 700 kwa mwezi, bodaboda zaongoza

Dar es Salaam. Taasisi ya Tiba na Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI), imesema inapokea takribani majeruhi wa ajali za barabarani 700 kwa mwezi. Kati ya majeruhi hao, asilimia 60 ambayo ni sawa na wajeruhi sita kati ya 10 wanatokana na ajali zinazohusiana na pikipiki maarufu kama bodaboda. Takwimu hizo zimetolewa na…

Read More

Kampuni kuagiza Siagi isiyo na rehemu kutoka Mauritius

Wakala wa kampuni ya WEXCO, Mohamed Barkat akihudumia wananchi waliofika kwenye banda lake kwenye maonyesho ya 77 yanayoendelea jijini Dar es salaam. Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya World Exchange Company Limited (WEXCO), kwa kushirikiana na Quality Beverages ya Mauritius, wanatarajia kuanza kuingiza nchini siagi yenye virutubisho nane na ambayo ni bora kwa afya na mazingira….

Read More