BENKI YA NCBA YAZINDUA MSIMU WA PILI MASHINDANO YA GOFU

BENKI ya NCBA Tanzania imezindua rasmi msimu wa pili wa mashindano ya gofu ya NCBA. Mashindano haya yatafanyika kwenye uwanja wa gofu wa Gymkhana, Arusha. Akizungumza Wakati wa Mashindano hayo Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Damas Ndumbaro ambaye alihudhuria tukio hilo kama mgeni rasmi, na pia alishiriki katika mchezo wa gofu, aliongelea ushirikiano wake…

Read More

Kobe Motor Japan kuongeza idadi ya magari yake soko la Tanzania

Kampuni ya Kobe Motor ya Japan imesema itaendelea kujitanua zaidi katika soko la Tanzania kutokana na kukua kwa mahitaji ya magari ya aina mbalimbali kwa ajili ya mtumizi binafsi na ya kibiashara. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Ikiwa ni moja kati ya makampuni makubwa ya Kijapani yanayouza magari yaliyotumika kutoka Japan sehemu mbalimbali duniani, Kobe Motor…

Read More

Gen Z waliamsha tena, barabara zafungwa

Dar es Salaam. Waandamanaji wa Gen Z wamerudi barabarani sasa wakiwa na kaulimbiu waliyoipa jina kamata maeneo yote dhidi ya utawala wa Rais William Ruto, yaani ‘Occupy everywhere protests against President William Ruto’s regime’ Maandamano nchini humo yamekuwa ya kila wiki, yakitanguliwa na yale ya kukataa muswada wa fedha kwa mwaka2024 ambao Rais Ruto amekataa…

Read More

Yanga kung’oa kocha Mamelodi | Mwanaspoti

Kiwango  kibovu ilichokionyesha Mamelodi Sundowns msimu uliopita ikiwemo kushindwa kufurukuta mbele ya Yanga katika mechi mbili timu hizo zilipokutana kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika vimepelekea mabosi wa Mamelodi kusitisha mkataba wa kocha wake Rulani Mokwena. Ikumbukwe Mamelodi ilikutana na Yanga kwa mara ya kwanza Machi 30 mwaka huu uwanja wa Benjamin Mkapa…

Read More

WAZIRI KAIRUKI AKUTANA NA MWEKEZAJI WA GRUMETI RESERVE

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mwekezaji wa Pori la Akiba Grumeti (Grumeti Reserve), Bw. Paul Jones lengo ikiwa ni kujadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano ikiwa ni pamoja na uhifadhi na utalii. Pori hilo liko katika Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara….

Read More

Kampuni kuagiza siagi isiyo na lehemu kutoka Mauritius

KAMPUNI ya World Exchange Company Limited (WEXCO), kwa kushirikiana na Quality Beverages ya Mauritius, wanatarajia kuanza kuingiza nchini siagi yenye virutubisho nane na ambayo ni bora kwa afya na mazingira. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza leo Jumanne kwenye maonyesho yanayoendelea kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Mauzo ya Nje wa…

Read More

Maji yaliyoibuka chini ya ardhi yazua taharuki Moshi

Moshi. Zikiwa zimepita siku zaidi ya 35, tangu kuibuka kwa maji chini ya ardhi katika eneo la mradi wa stendi ya mabasi ya Kimataifa ya Ngangamfumuni, Manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro, Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Mwajuma Nasombe  amesema hayajaathiri mradi huo baada ya kuchimbwa visima vitatu kwa ajili ya kuyadhibiti. Kwa mara ya kwanza maji…

Read More