Aussems atuma salamu Ligi Kuu 2024/25
KOCHA mpya wa Singida Black Stars, Patrick Aussems amejipa wiki tatu hadi nne za kuwasoma wachezaji wake kabla ya kutoa dozi ya mbinu zake katika maandalizi ya msimu ujao ambao anaamini wanaweza kutoa ushindani mbele ya Yanga, Azam, Simba na Coastal Union ambazo zilimaliza msimu uliopita katika nafasi nne za juu. Mbelgiji huyo ambaye aliwahi…