Majasusi watibua jaribio la kumpindua rais Ukraine

SERIKALI ya Ukraine imefanikiwa kutibua njama za kuipindua serikali ambayo imekuwa hasimu mkubwa wa Urusi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Taarifa iliyotolewa na mtandao wa Telegram imeeleza kuwa, Shirika la Ujasusi la Ukrainme (SBU) ilidai kuwa waandaaji wa mapinduzi walipanga kuzua ghasia jijini Kyiv tarehe 30 Juni 2024 na kudhibiti Bunge la Ukraine na kuondoa…

Read More

Serikali yanyooshewa kidole utekaji, Waziri aitetea

Dar es Salaam. Vilio vya watu kutoweka na kutekwa vimeendelea kuibua hofu na wasiwasi nchini, huku wadau wakiinyooshea kidole Serikali kwa kushindwa kuvikomesha. Kwa mujibu wa wadau hao wa kada mbalimbali, pia vipo viashiria vya ushiriki vyombo vya dola, ikidaiwa baadhi ya watekaji wanapomchukua mtu hudai wao ni askari, madai ambayo Waziri wa Mambo ya…

Read More

Serikali ya Awamu ya tano ilivyofuta ufalme wa Manji

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Yusuf Manji (49) amezikwa jana Florida nchini Marekani, akiacha historia ya kuwa miongoni mwa wawekezaji wakubwa waliowahi kutokea nchini. Heshima na jina lake, lisingekuwa kitu kipya katika masikio ya Watanzania wengi nyakati hizo, hiyo ilitokana na utajiri wake, kadhalika kujihusisha kwake na uwekezaji katika mpira wa maguu. Manji aliyefariki…

Read More

Sababu wanafunzi kufanyiana mitihani vyuo vikuu

Si tukio la kawaida kwa walio wengi, lakini limetokea na pengine yamekuwa yakitokea matokeo mengi ya aina hiyo, lakini hayaripotiwi. Si habari njema kwa kuwa linatia doa sekta ya elimu nchini. Ni tukio la uongozi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kuwakamata watu 17 wakijaribu kuwafanyia mitihani wanafunzi wa chuo hicho. Waliokamatwa ilielezwa walikuwa…

Read More

Tofauti kati ya Rais Ruto, Naibu wake zaanikwa

TOFAUTI za kimtizamo kati ya Rais William Ruto na Naibu wake Rigathi Gachagua zimeendelea kuonekana wazi baada ya wawili kukinzana kuanzia  Jumapili tarehe 30 Juni 2024 kuhusu suala nyeti yanayohusu usalama wa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Katika mahojiano na wahariri wa mashirika makuu ya habari nchini Ikulu ya Nairobi juzi Jumapili usiku, Rais…

Read More

Shangwe la akina mama Shinyanga ‘Dkt Samia mitano tena’

Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani alivyoibua Shangwe leo kwenye Kongamano la Wanawake wa Mkoa wa Shinyanga linalolenga kuhamasisha Wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kwa mwaka 2024. Mgeni rasmi katika Kongamano hilo lililofanyika katika Ukumbi wa Miligo Hall Manispaa ya Kahama alikuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania…

Read More

TRA yaweka rekodi makusanyo 2024, yakusanya trilioni 27.64

WAKATI wafanyabiashara nchini wakiweka mgomo wa siku tatu kupinga makadirio makubwa ya kodi na mifumo isiyo rafiki ya ukusanyaji wa kodi, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeandika historia ya ukusanyaji wa mapato kwa kipindi cha mwaka 2023/2024 ikiwemo kukusanya kiasi cha Sh 27.64 trilioni ambayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la…

Read More