Kutana na mwanamke mwenye nywele ndefu zaidi duniani

Mwanamitindo maarufu nchini Ukraine, Aliia Nasyrova (35) ametajwa kuvunja rekodi ya ‘Guinness” ya kuwa mwanamke mwenye nywele ndefu zaidi duniani. Awali, nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na Smita Srivastava kutoka India, ambaye mwaka 2023 alitangwazwa kuwa mwanamke mwenye nywele ndefu zaidi duniani, zikiwa na urefu wa sentimita 236.22. Kwa mujibu wa tovuti ya Guiness Word, nywele…

Read More

Jatu afikisha siku 111 za majadiliano na DPP

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili, likiwemo la kujipatia Sh 5.1bilioni kwa udanganyifu, amefikisha siku 111 tangu aanze majadiliano na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) ya kuimaliza kesi yake. Hata hivyo, Serikali imedai bado haijafikia tamati katika majadiliano yao. Gasaya anadaiwa kujipatia fedha hizo kutoka…

Read More

Mahakama yamwachia huru aliyedaiwa kumuua mwanawe

Geita. Mahakama Kuu kanda ya Geita imemuachia huru Stephano Mlenda (31) Mkazi wa Chigunga Wilaya ya Geita, aliyekuwa akishtakiwa kwa kosa la kumuua mtoto wake wa miaka tisa kwa kutokusudia. Baba huyo anadaiwa kumchapa kwa fimbo mwanawe huyo baada ya kubaini ameiba Sh700 na kwenda kununua soda. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu Julai Mosi, 2024…

Read More

Viongozi wa dini Kenya waonya juu ya kuwateka nyara vijana – DW – 01.07.2024

Haya yanajiri baada ya ripoti zilizotolewa kuonesha zaidi ya vijana 34 hawajulikani walipo. Viongozi wa kidini kutoka mjini Mombasa nchini Kenya wamekosoa vitendo vya mauaji na uharibifu wa mali wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha yaliyofanyika alhamisi wiki iliyopita. Kundi la mashirika yanayopigania mageuzi katika kikosi cha polisi limetoa ripoti inayoonesha watu  34 walitekwa nyara…

Read More

THRDC yajitosa matibabu ya Sativa

Dar es Salaam. Wakati wananchi mbalimbali wakiendelea kumchangia Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeungana na wadau hao kufanikisha matibabu ya Sativa aliyelazwa Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar es Salaam. Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23 na kupatikana Juni 27, 2024 katika pori la Hifadhi ya Katavi…

Read More