Udanganyifu wa ‘mashamba boi’ wapata muarobaini

Dar es Salaam. Wabunifu wamekuja na kifaa cha kukomesha udanganyifu wa wasimamizi wa mashamba ya samaki kwa kubuni kifaa cha kulishia samaki kitakachotoa taarifa kwa mmiliki ya muda na kiasi cha chakula walichopewa. Ili kupatikana samaki kwa wingi ni lazima kuwe na kazi ya kupanda, kukuza na kuwatunza katika bwawa au uzio uliotengenezwa kwa vyuma,…

Read More

Mtandao wa X ulivyotumika kumnusuru Matarra gerezani

Dar es Salaam. Wanaharakati na marafiki wa kijana Japhet Matarra, anayetumikia kifungo cha miaka mitano gerezani kwa makosa ya mtandao kupitia mtandao wa X, wamechangisha Sh8.5 milioni kwa ajili kumtoa gerezani kijana huyo. Matarra alihukumiwa Juni 2023 na Mahakama ya Hakimu Mfawidhi Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro kwa kosa la mtandao la kuhoji utajiri wa…

Read More

‘Moyo wa Manji ulikuwa Yanga’

Dar es Salaam. Baada ya mwenyekiti na mfadhili wa zamani wa Yanga Yusuf Manji kufariki Jumamosi iliyopita, aliyekuwa mwanasheria wa timu hiyo, Onesmo Mpinzile ameeleza mengi kumhusu mfanyabiashara huyo. Manji alifariki akiwa hospitalini Florida nchini Marekani ikiwa ni miezi miwili tangu alipofanya mahojiano marefu na Mwananchi Digital akiwa jijini Dar es Salaam ambapo alihudhuria mchezo…

Read More

Mapya kesi ya kutekwa Kabendera, Vodacom yaitwa mahakamani

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salalam, imeitaka Kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi, Vodacom kufika mahakamani na kuwasilisha nyaraka inazotarajia kuzitumia katika kujitetea katika kesi ya madai iliyofunguliwa na wanahabari, Erick Kabendera dhidi yake. Katika kesi hiyo, Kabendera anaoimba mahakama iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za…

Read More

Mambo matano mahojiano ya mwisho ya Manji na Mwanaspoti

ALIYEWAHI kuwa mwenyekiti na mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji, alifariki dunia juzi wakati akipatiwa matibabu katika hospitali moja iliyopo Florida, Marekani alikokuwa akiishi, lakini takriban miezi miwili iliyopita alifanya mahojiano na Mwanaspoti jijini Dar es Salaam na kufunguka mambo mengi. Mahojiano ya gazeti hili na Manji yaliyolifanyika Aprili 21, mwaka huu ndiyo yaliyokuwa ya mwisho…

Read More

'Imani na heshima' hulisha mafanikio ya kukua kwa mpunga wa dini tofauti nchini Ufilipino – Masuala ya Ulimwenguni

Chama cha ushirika cha Liton, Kibales, Magatos Irrigators Association (LKM-IA) kimeungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo.FAO) kwa ufadhili wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Korea (KOICA). Jamii hizo zinaishi umbali wa mita mia chache tu karibu na Kabacan katikati mwa kisiwa cha Midanao, eneo ambalo limeshuhudia vurugu za…

Read More

Rais wa Msumbuji kuzindua maonyesho ya sabasaba

Dar es Salaam. Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 3, 2024. Nyusi atapokelewa nchini Tanzania kesho Jumanne, Julai 2 na Rais Samia Suluhu Hassan, Ikulu jijini Dar es Salaam, ataambatana na mwenyewe wake katika ufunguzi wa…

Read More