Magamba ya samaki kaa kuzalisha nyuzi, nguo, ‘tishu’
Dar es Salaam. Katika kusaidia mapambano ya uchafuzi wa mazingira unaosababishwa na utupaji taka holela, mwanafunzi wa shahada ya uzamili wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), amebuni namna magamba ya samaki aina ya kaa yanavyozalisha nyuzi na nguo. Magamba hayo ya kaa ambayo kwa sasa huishia madampo katika maeneo mbalimbali, yanapochanganywa na mwani,…