Hii ndiyo Yanga ya Chama

KLABU ya Yanga imemtangaza aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama kuwa mchezaji wake baada ya kumaliza mkataba na waliokuwa waajiri wake wa zamani jana, Juni 30, 2024 Chama atakuwa mmoja wa wapambanaji wa timu hiyo msimu wa 2024/2025 ambapo timu hiyo itakuwa ikishiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrka, Ligi Kuu Bara, Kombe la…

Read More

BREAKING; CHAMA ASAINI RASMI KUWA MWANANCHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kupitia Kurasa za Mitandao ya Kijamii, Klabu ya Young Africans imetangaza rasmi kuwa imemsajili Nyota wa Soka wa Kimataifa kutoka nchini Zambia, Clatous Chama (Mwamba wa Lusaka rasmi awa Mwananchi) ambaye Misimu kadhaa ya hivi karibuni alikuwa akitamba ndani ya Kikosi cha Simba SC (Waasimu wao wanaounda Derby ya Kariakoo kutokea Msimbazi).Powered by; @acbtanzania_ @kobemotor @betpawatanzania @wearekerry#KonceptTvUpdates

Read More

VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI ZINAZOPATIKANA HALMASHAURI.

MTANDAO wa Vijana wa TK Movement ambalo linajishughulisha kuendeleza vuruvugu la kujitolea ili kuleta mapinduzi ya kitaifa  limewataka vijana nchini kuchangamkia fursa zilizopo kwenye halimashauri ili mujiletea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.  Mratibu wa TK Movement, Sophia Jumbe,alitoa wito huo wakati akizungumza na viongozi wa vijana wa mtandao huo katika halmashauri za Wilaya ya Manyoni…

Read More

Manji afariki dunia, Yanga wamlilia

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Yusuf Manji amefarikia dunia leo Jumapili jijini Florida nchini Marekani baada ya kuugua kwa muda mfupi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uongozi wa Young Africans Sports Club umethibitisha kifo cha Manji ambaye alikuwa mfadhili wa timu hiyo kuanzia 2012 hadi 2017 Mei alipojiuzulu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Klabu ya Yanga imesema imepokea…

Read More

10 wateuliwa kuwania uenyekiti CCM, UVCCM

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewateua makada wake 10 kuwania nafasi za uenyekiti wa mikoa na wilaya mbalimbali. Nafasi hizo ni zile zilizoachwa wazi baada ya uchaguzi wa ndani wa chama hicho. Nafasi zilizokuwa wazi ni ya uenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa…

Read More