Aweso aagiza vigogo wawili Dawasa wasimamishwe
Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameiagiza Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kuwasimamisha vigogo wawili wa mamlaka hiyo, akiwamo Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu, Kiula Kingu kupisha uchunguzi dhidi yao. Mbali na Kingu, mwingine ni Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji Maji wa Dawasa, Shaban Mkwanywe. Waziri…