Banda asikilizia Qatar, Sauzi na Tanzania

BEKI Mtanzania aliyekuwa akikipiga katika klabu ya Richards Bay ya Afrika Kusini, Abdi Banda amesema kwa sasa anahitaji kusaka changamoto mpya ya ushindani katika timu nyingine. Banda amesema tayari ana ofa tatu mezani japokuwa hakutaja majina ya timu, ila Mwanaspoti linafahamu anazungumza na Singida Black Stars, timu kutoka Qatar na Afrika Kusini. “Mkataba wangu uliisha…

Read More

SIO ZENGWE: Sakata la Fei Toto, Dube lifikirishe mamlaka

KIPINDI cha mavuno kwa wachezaji na mawakala au mameneja wao ndio kinaendelea duniani kote kwa sasa baada ya msimu wa soka wa 2023/24 kumalizika, hivyo kuruhusu wachezaji waanze kuangalia wapi kuna majani ya kijani zaidi. Lakini wapo wanaouguzia machungu ya kusaini mikataba kiholela baada ya kuhakikishiwa malipo mazuri ya bonasi ya kusaini (sign-on fee), mshahara…

Read More

Mapya ya Dk Nawanda na tuhuma za ulawiti mwanafunzi wa chuo

Dar es Salaam. Ukimya wa taarifa za mwenendo wa tuhuma zinazomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu (RC), Dk Yahaya Nawanda umewashtua wadau wa sheria, wakitaka upelelezi uharakishwe ili mtuhumiwa afikishwe mahakamani. Msisitizo wa wataalamu hao wa taaluma ya sheria, unatokana na kile walichofafanua kuwa ni mahakama pekee ndiyo yenye mamlaka ya kuamua iwapo mtuhumiwa…

Read More

Yusuf Manji afariki dunia | Mwanaspoti

TAARIFA zilizotufikia hivi punde ni kwamba aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia usiku wa jana huko Florida, Marekani. Mtoto wa marehemu, Mehbub Manji, amethibitisha kwa Mwanaspoti kuwa Manji amefariki saa 6 usiku wa kuamkia leo.  Endelea kutembelea tovuti na mitandao ya kijamii ya Mwanaspoti kupata taarifa zaidi juu ya…

Read More