Kinachomsibu Sativa akipatiwa matibabu Aga Khan
Dar es Salaam. Ripoti ya awali ya vipimo kutoka kwa madaktari wa Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar es Salaam, imeonyesha Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa, amepata mpasuko wa taya zilizosagika, huku baadhi ya mifupa ikionekana na mipasuko midogo. Sativa anayejishughulisha na biashara ya miamala ya fedha na michezo ya kubahatisha, alichukuliwa vipimo usiku wa…