TETESI ZA USAJILI BONGO: Yanga, Pacome kumaliza utata

MABOSI wa Yanga wanadaiwa wapo kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya kiungo nyota wa timu hiyo, Pacome Zouzoua. Kiungo mshambuliaji huyo raia wa Ivory Coast alijiunga na timu hiyo Julai 19 mwaka jana akitokea Asec Mimosas ya nchini kwao na amebakisha mkataba wa mwaka mmoja, hivyo kuzivutia klabu mbalimbali za ndani na nje ya nchi…

Read More

Mwanafunzi Veta abuni mashine ya makuzi ya watoto njiti

Dar es Salaam. Katika kusaidia makuzi ya watoto njiti na kukabili changamoto zao, mwanafunzi wa Chuo cha Mafunzo na Ufundi Stadi (Veta), George Nyahende, amebuni mashine ya kuwakuzia watoto hao yenye mzani, mpira wa gesi na taa za kusaidia kupambana na magonjwa ya ngozi. Mashine hiyo itaondoa usumbufu wa watoto kutolewa kila wanapokutana na changamoto…

Read More

WAZIRI ULEGA ATETA NA MAKAMU WA RAIS

      Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani akijadiliana jambo jambo na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega katika Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Jengo la…

Read More

KMC yaipiga bao Simba kwa Stopper

KLABU ya KMC imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa beki wa kati wa KVZ ya Zanzibar, Salum Athuman ‘Stopper’ baada ya nyota huyo aliyekuwa pia anawindwa na Simba kuamua kujiunga na miamba hiyo ya Kinondoni kwa mkataba wa miaka miwili. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeliambia Mwanaspoti kwamba, beki huyo tayari amekamilisha uhamisho wake na wakati…

Read More

Kura mbili zamhamishia Mch. Msigwa CCM

Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini na mjume wa zamani wa kamati Kuu ya Chadema, Mchungaji Peter msigwa leo tarehe 30 Juni 2024 amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupokelewa na Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hiko na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Msigwa amepokewa katika…

Read More

Wananchi Zanzibar kununua umeme popote kidijitali

Unguja. Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) limeingia makubaliano na taasisi sita kwa ajili ya kuwasaidia wananchi kupata huduma hiyo popote kidijitali, kwa lengo la kuleta ufanisi na kuwaondolea wateja usumbufu. Akizungumza kwenye hafla ya kufikia makubaliano hayo leo Jumapili, Juni 30, 2024, Meneja wa shirika hilo, Haji Mohammed Haji amesema mbali na kuwaondolea wananchi usumbufu na…

Read More

Kigoma, Mara zabeba ndoo Taifa Cup

TIMU ya kikapu ya wanaume ya Kigoma na wanawake ya Mara zimeibuka mabingwa wa mashindano ya Kikapu ya Taifa (CRDB Taifa Cup) yaliyomalizika juzi Jumamosi usiku kwenye Uwanja wa Chinangali, jijini Dodoma. Kigoma ilishinda taji hilo kwa kuifunga Dodoma kwa pointi 58-54, ilihali Mara ilipata ushindani mkali kuifunga Unguja kwa pointi 57-56 katika mchezo wa…

Read More

Sarah awasha moto Msoga Marathoni

WAKATI Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete akiwaita wanariadha kujifua mjini Msoga na kuahidi kuwapa sapoti, mwanariadha maarufu nchini, Sarah Ramadhan ameibuka mshindi wa mbio za Msoga Marathoni zilizofanyika wikiendi iliyopita, huku akifuatiwa na mkali mwingine Failuna Abdi. Tuanze na JK. Rais Kikwete aliyeongoza mbio ya Msoga Half Marathoni iliyofanyika kwa mara…

Read More

Alliance, Harab Motors tishio Ligi ya Caravans

LIGI ya Kriketi ya Caravans T20 ilikuwa njema kwa timu za Alliance Caravans na Harab Motors baada ya timu hizo kupata matokeo mazuri katika michezo iliyochezwa kwenye viwanja vya Dar Gymkhana na Anadil Burhan jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Mechi ya kusisimua sana ya mwishoni mwa juma iliwakutanisha Alliance Caravans na Generics Gymkhana…

Read More