Ndoa, talaka janga linalotikisa nchini

Dar es Salaam. Viongozi wa dini, wananchi na mtaalamu wa saikolojia wamekuwa na maoni tofauti kufuatia kushuka kwa idadi ya ndoa zilizosajiliwa, huku talaka zikiongezeka. Baadhi wanasema ndoa zinazofungwa ni nyingi lakini hazisajiliwi rasmi, wakati wengine wanadai watu wamekuwa na hofu ya kuoa kutokana na wimbi la talaka na kuona ndoa ni ngumu. Baadhi wanasema…

Read More

Njia ya kukuza tabia ya uwajibikaji kwa watoto

Katika makala yaliyopita tuliona umuhimu wa tabia ya uwajibikaji kwa mtoto. Bila uwajibikaji, tulisema, mtoto hataweza kufanya majukumu yake ipasavyo kwa sababu wakati wote atakuwa anangoja wengine wafanye kwa niaba yake. Ili kujenga uwajibikaji, tulipendekeza mipaka iwe sehemu ya maisha ya mtoto. Mamlaka inamsaidia mtoto kuelewa kipi lazima yeye akifanye na kipi hawezi kukifanya kwa…

Read More

Sativa afikishwa Dar, alazwa Aga Khan

Dar es Salaam. Hatimaye Edgar Mwakabela, maarufu Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23, 2024 na kupatikana mkoani Katavi, amewasili jijini Dar es Salaam na amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan kwa matibabu zaidi. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumapili Juni 30,2024 mmoja wa watu wa karibu  waliompokea mgonjwa huyo, Boniface Jacob amesema wanamshukuru Mungu Sativa amefika…

Read More

Hii hapa hatari ya mzazi kubagua watoto

Dar es Salaam. Upo usemi wa wahenga usemao; “uchungu wa mwana aujuaye mzazi.” Lakini pia hawakuishia hapo, wakaongeza mwingine usemao; “Hakuna mapenzi ya dhati zaidi ya yale yatokayo kwa mzazi.” Licha ya kauli hizo za mababu zetu kuiasa jamii, bado mambo ni tofauti. Wapo baadhi ya wazazi hawana upendo na wengine wana ubaguzi wa waziwazi…

Read More

TANROADS YAMPA TANO RAIS SAMIA KUTOA BIL 101.2 KUANZA UJENZI WA KM 73 ZA LAMI BARABARA YA KAHAMA-BULYANHULU JCT – KAKOLA

Baada ya tarehe 16 Machi 2024 Serikali kusaini Mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kahama-Bulyanhulu Jct – Kakola yenye urefu wa Kilomita 73 kwa kiwango cha lami, tayari Kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation imeanza utekelezaji wake. Pamoja na Barabara hiyo kufungua fursa za kiuchumi za madini, kilimo, misitu na utalii katika mikoa ya…

Read More

Xavi: Msihofu, kina Mkude, Bocco wapya wanakuja!

KATIKA safari ya kutafuta mafanikio kuna nyakati nyingi binadamu hupitia na kukumbana nazo kati ya zile za furaha na huzuni. Hakuna wakati mbaya kama kukata tamaa. Haijalishi umejaribu mara ngapi, umeshinda mangapi, cha msingi ni kuendelea kupambana na kujifunza zaidi na zaidi. Mfano mzuri ni kocha wa timu ya vijana ya Simba, Mohamed Mrishona Mohamed…

Read More

TETESI ZA USAJILI: Duke Abuya katika rada za Wagosi, simba…

WAGOSI wa Kaya wapo bize na maandalizi ya msimu ujao wa mashindano, hususani Kombe la Shirikisho Afrika na kwa sasa imeanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji Mkenya, Duke Abuya anayekipiga Singida Black Stars (zamani Ihefu). Nyota huyo inaelezwa huenda akaondoka kikosini humo baada ya mkataba aliokuwa nao Ihefu kumalizika, huku kukiwa hakuna mazungumzo mapya ya kumuongezea,…

Read More