Kocha mpya Simba mambo freshi ni suala la muda tu

HUKO Msimbazi mambo ni moto, kwani baada ya kuanza kutambulisha vifaa vipya ikianza na Lameck Lawi kutoka Coastal Union, kwa sasa inajiandaa kumtangaza kocha mpya na mashine nyingine mpya zitakazoingia kambini kuanzia kesho Jumatatu. Simba inataka kutambulisha benchi la ufundi ili kuanza kambi ikiwa kamili kwa ajili ya msimu ujao, huku Msauzi, Steve Khompela akitajwa….

Read More

Usajili mpya…Gamondi atoa neno Yanga SC

WAKATI mabosi wa Yanga wakiendelea na mchakato wa kuboresha kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano, kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amechekelea na kutoa neno kwa mambo yanavyokwenda klabuni hadi sasa katika ishu za usajili mpya. Yanga ambayo inafanya mambo yake kimya kimya na kesho Jumatatu itaanza kuweka hadharani wachezaji ilioachana…

Read More

Mrithi wa Inonga Simba huyu hapa

MASTAA wa Simba wanaanza kujumuika pamoja kuanzia kesho Jumatatu, lakini utamu zaidi ni dili la mrithi wa beki wa kati aliyetimkia FAR Rabat ya Morocco, Henock Inonga limefikia pazuri baada ya menejimenti ya mchezaji huyo kutua Dar es Salaam ili kukutana na Mohamed ‘Mo’ Dewji kumaliza kazi. Simba inampigia hesabu Nathan Fasika Idumba anayechezea kwa…

Read More