IDARA YA FORODHA TRA WATETA NA MAWAKALA WA FORODHA NA VING’AMUZI
Kaimu Naibu Kamishna wa Forodha wa TRA, Juma Hassan akizungumza wakati wa kuzindua mkutano na mawakala wa forodha pamoja na mawakala wa Ving’amuzi leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Washiriki wakiwa kwenye mkutano ulioandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) idara ya forodha. MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Idara ya Forodha leo Juni 29, 2024…