Wadaiwa sugu bodi ya mikopo kusakwa zipatikane Sh bilioni 200

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imezindua kampeni inayolenga kuwasaka wadaiwa ambao hawajalipa mikopo yao tangu walipohitimu masomo. Kampeni hiyo ijulikanayo kama ‘Fichua’ itaendeshwa kwa miezi miwili ikilenga kukusanya zaidi ya Sh bilioni 200 kutoka kwa wadaiwa zaidi ya 50,000. Akizungumza leo Juni 28,2024 wakati wa uzinduzi wa…

Read More

Afariki baada ya kushinda shindano la kunywa pombe

Morogoro. Dereva bodaboda anayefahamika kwa jina la Charles Ngaga, amefariki dunia usiku wa kuamkia Juni 28, 2024 katika Mtaa wa Kiswanya A, Manispaa ya Morogoro baada ya kushindana na wenzake kunywa pombe kali, chupa tano kwa wakati mmoja, jambo lililosababisha kifo chake. Mjumbe wa serikali ya mtaa huo, Mohamed Mkandawile amethibitisha kutokea kwa tukio hilo…

Read More

Vifuu vya nazi kutengeneza mkaa

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha mkakati wa miaka 10 wa  matumizi ya nishati safi ya kupikia unatekelezwa kwa ufanisi wajasiriamali wamekuja na ubunifu utengenezaji wa mkaa mbadala kwa vifuu vya nazi. Mkakati wa matumizi ya nishati safi ulizinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 8 mwaka huu, ukilenga kuepuka athari za matumizi ya kuni na…

Read More

TANZANIA WASAINI MKATABA KULISHA ZAMBIA

  Mkurugenzi wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Andrew Komba na Mratibu wa Taifa la Zambia, Rouben Mtolo Phiri wakibadlishana mikataba mara baada ya kusaini mikataba kwaajili ya kuuziana mahindi meupe tani 650,000. Mikataba hiyo imesainiwa jijini Dar es Salam leo Juni 29, 2024. Mkurugenzi wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Andrew Komba na Mratibu wa Taifa…

Read More

KenGold mguu sawa Ligi Kuu

MKURUGENZI Mtendaji wa KenGold, Kenneth Mwakyusa Mwambungu amesema kwa sasa wanaendelea na zoezi la kuboresha timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, huku akiweka wazi watazingatia matakwa yote kutoka kwa benchi la ufundi. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwambungu alisema licha ya ukimya uliopo ila wanaendelea na mikakati ya kuisuka timu hiyo huku…

Read More

ADC kupata viongozi wapya leo

Dar es Salaam. Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ali Ahmed akimekipongeza   Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), kwa kuweka utaratibu wa ukomo wa uongozi licha ya uchanga wake. Amesema chama hicho ni kichanga lakini kimezidi kukua, huku kikiwa na wanasiasa wakongwe na wabobezi. Ahmed ametoa pongezi hizo leo Juni 29, 2024 wakati…

Read More

Dabo hataki kurudia makosa msimu

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amefunguka hataki kurudia makosa ya msimu uliopita katika michuano ya kimataifa na kusema ndio sababu iliyomfanya awaite mapema kambini mastaa wa timu hiyo ili kutengeneza muunganiko baada ya sajili mpya na kuiweka timu freshi kabla ya kuliamsha 2024-2025. Msimu uliopita Azam licha ya kumaliza nafasi ya pili katika…

Read More

Wanafunzi saba mbaroni sakata la kufanyiana mitihani chuo kikuu

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaamimekiri kuwashikilia watu 17 wanaotuhumiwa kuwafanyia mitihani wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT). Mbali na watuhumiwa hao, limethibitisha kuwashikilia wanafunzi saba wanaodaiwa kuwa ndiyo waliokuwa wakifanyiwa mitihani hiyo, huku wengine 10 wakiendelea kusakwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Juni 28, 2024 na Makamu Mkuu…

Read More