Zawadi Mauya afunguka yaliyojificha Yanga

KIUNGO aliyemaliza mkataba Yanga, Zawadi Mauya ameizungumzia misimu minne ndani ya kikosi hicho jinsi ilivyompa upana wa kufanya kazi yake kwa weledi, licha ya kushindwa kuanika dili la kutua Singida Black Stars (zamani Ihefu) inayodaiwa kumpa mkataba wa miaka miwili. Mauya alijiunga na Yanga, Julai Mosi 2020 ambapo msimu ulioisha alimaliza mkataba na Mwanaspoti limepata…

Read More

WATAALAMU WA USAFIRISHAJI MSD WAJENGEWA UWEZO

Wataalamu wa Usafirishaji wa Bohari ya Dawa (MSD) wameendelea kujengewa uwezo kupitia mafunzo mbalimbali yanayohusu Kada yao ya usafirishaji yanayoandaliwa na taasisi. Wataalamu hao wanapatiwa mafunzo katika maeneo mbalimbali yakiwemo Afya ya Akili, udereva wa kujihami, alama za barabarani, ukaguzi wa magari, sheria za usalama barabarani, upakiaji wa mizigo na namna bora ya kuendesha magari…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Nahimana anajiandaa kusepa Namungo

KIPA wa kimataifa wa Burundi, Jonathan Nahimana anayeidakia Namungo huenda msimu ujao asiwe sehemu ya kikosi hicho baada ya kukichezea kwa miaka minne. Inaelezwa Namungo haina mpango wa kumwongeza mkataba Nahimana ambaye aliichezea mechi 34 na mwenyewe ameanza kufikiria maisha mapya nje ya timu hiyo ya Kusini mwa Tanzania. Namungo inatajwa kumalizana na kipa wa…

Read More

Wasiwasi bomba la gesi kufukuliwa, TPDC yafafanua

Dar es Salaam. Wakati wananchi wa Mtaa Mpya, Kata ya Ulongoni B, wakileza kuwa na wasiwasi wa bomba la gesi asilia lililopita maeneo hayo kuwa wazi kufuatia kuzolewa kwa mchanga juu yake, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), limesema bada bomba hilo ni salama Bomba hilo ndilo linalosafirisha gesi asilia kutoka Mtwara kupeleka katika…

Read More

BOTRA WAPANGA MIKAKATI WA KUBORESHA CHAMA CHAO.

Wanachama wa Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BOTRA) wamefanya mkutano mkuu wa mwaka na kujadili ya Mpango Mkakati wa BOTRA wa miaka mitatu, 2025 hadi 2027. Mpango Mkakati huo unalenga kuongeza idadi ya wanachama, kuongeza motisha kwa wanachama, kuendeleza uanachama hai, kupanua uwezo wa chama kimawasiliano kwa ajili ya kuwafikia kwa wakati…

Read More

MTU WA MPIRA: Hata Chama mwenyewe anawashangaa Simba

KUNA vitu vingine vinaendelea nchini vinashangaza sana. Ni kama hili sakata la usajili wa Clatous Chama. Ni jambo la kushangaza. Huko mitandaoni kumechafuka. Huyu anasema Chama ni wa Simba mwingine anakuja anasema ni wa Yanga. Ni mkanganyiko mkubwa. Kwanini, subiri nitakwambia. Chama alikuwa mchezaji wa Simba hadi msimu unamalizika. Amecheza Simba tangu 2018 ukiacha miezi…

Read More

Afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa anatoa wito wa kufuata madhubuti kwa vikwazo kwa DPR Korea – Masuala ya Ulimwenguni

Bi. Nakamitsu alibainisha kuwa katika miezi ya hivi karibuni kumekuwa na madai ya kuhamisha makombora na risasi za balestiki kutoka DPRK (inayojulikana zaidi kama Korea Kaskazini) kwenda Urusi, kinyume na maazimio ya Baraza, ambayo inadaiwa kutumika katika uvamizi unaoendelea wa Moscow nchini Ukraine. “UN Baraza la Usalama serikali za vikwazo ziko juu ya juhudi za…

Read More

Usafirishaji bidhaa kimagendo washika kasi Bahari ya Hindi

Dar es Salaam. Matukio ya usafirishaji wa bidhaa kimagendo ikiwemo mafuta ya kupikia kutoka Zanzibar kwenda Dar es Salaam kupitia pwani  bahari ya Hindi yameendelea kushamiri. Hilo limethibitishwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Wanamaji cha Dar es Salaam katika kipindi cha miezi sita kupitia operesheni zake mbili tofauti maalumu za kudhibiti uhalifu zilizofanywa katika…

Read More