TAASISI ZA UMMA ZASISITIZWA UMUHIMU WA MFUMO WA NeST-TWAMALA

      Kaimu Katibu Tawala ,Mkoa wa Pwani ,Shangwe Twamala amesisitiza ulazima wa Taasisi za Umma kutumia mfumo wa kielektroniki wa ununuzi wa Umma “NeST” ambao unasimamiwa na mamlaka ya udhibiti wa ununuzi wa Umma(PPRA).Hayo aliyasema wakati akifungua mafunzo ya siku tano juu ya Mfumo wa NeST  kanda ya Pwani yaliyofanyaki Wilayani Bagamoyo. Twamala…

Read More

MAABARA YA MUHIMBILI MLOGANZILA YAPAA KWA UBORA KIMATAIFA

    Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara nyingine imepata cheti cha Ithibati ya Ubora Kimataifa kutoka Shirika la Viwango vya Ukaguzi Kimataifa (SADCAS) kwa mwaka 2023/2024 baada ya SADCAS kujiridhirisha juu ya mwenendo wa utoaji wa huduma bora kwa jamii kutoka maabara hiyo.Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji MNH, Prof. Mohamed Janabi wakati akipokea cheti…

Read More

Kocha Nabi afunguka walivyomalizana na Inonga

KOCHA wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema wala sio ishu mpya kwa beki Mkongomani kusajiliwa FAR Rabat ya Morocco, kwani jamaa alishamalizana nao kitambo kisha akasema atapiga kazi ya maana. Inonga inaelezwa amesaini miaka mitatu ya kuichezea timu hiyo aliyokuwa akiinoa Nabi na kuifanya imalize nafasi ya pili, ikiukosa kiduchu ubingwa mbele ya Raja…

Read More

Hatima ya Guede yaibua makundi mawili Yanga

KUMEZUKA makundi mawili ndani ya Yanga juu ya hatima ya mshambuliaji Joseph Guede, huku kila moja likiwa na hoja zake kwamba jamaa abaki au apewe ‘thank you’. Yanga inataka kuachana na washambuliaji wake wawili Kennedy Musonda na Guede, kisha zitafutwe mashine zingine ikiona kama jamaa hawajafanya makubwa ingawa wote wameitumikia timu hiyo kwa nyakati tofauti….

Read More

Tshabalala apewa mtihami Simba, aletewa chuma

WAKATI Simba ikiendelea kuweka mambo sawa katika dirisha hili la usajili linaloendelea, imeshusha chuma ambacho ujio wake unatajwa kuwa unakwenda kuleta changamoto kwa nahodha msaidizi wa timu hiyo, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ katika eneo analocheza la beki wa kushoto. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni baada ya miaka zaidi ya sita kupita ikimshuhudia Tshabalala akitamba atakavyo katika…

Read More

AMERICARES YATOA MATIBABU BILA MALIPO KWA WAGONJWA WA FISTULA MKOANI SHINYANGA

Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog Shirikala Americares limeendesha zoezi la utoaji wa huduma ya matibabu ya bila malipona kufanya operesheni ya ugonjwa wa fistula kwa kina mama waliobainika kuwa naugonjwa huo ndani ya mkoa wa Shinyanga. Zoezihilo la matibabu limefanyika kwa muda wa siku tatu katika hospitali ya Rufaaya Mkoa wa Shinyanga iliyopo kata ya Mwawaza manispaa ya Shinyanga….

Read More