PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 29,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 29,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 29,2024 Featured • Magazeti About the author
Tuzo za Umoja wa Mataifa za Ubunifu katika Huduma za Umma ‘UN Public Service Innovation Awards’ zimetolewa leo Juni 26 mwaka huu, nchini Korea Kusini kwenye Kilele cha Wiki ya Utumishi wa Umma ya Umoja wa Mataifa ‘UN Public Service Week 2024’. Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa 72 zimeshiriki ambapo mifumo 400 iliwasilishwa na…
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda (kulia) akitembelea Banda la Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) wakati akifungua Maadhimisho ya siku ya kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya kitaifa Jijini Mwanza leo Juni 28, 2024 Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. Said…
Na MWANDISHI WETU, Dodoma. Spika wa Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana nakufanya mazungumzo na Bw. Masha Mshomba, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko waTaifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), baada ya kuhitimisha Bunge JijiniDodoma, tarehe 28 Juni, 2024.Mazungumzo hayo yalihusuutaratibu wa ulipaji mafao ambao NSSF imeendelea kuuboresha kupitiamifumo ya TEHAMA. …
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Bi Harusi Sadi Suleiman, akimkabidhi cheti cha shukrani Rukia Salim Afisa Kinga masuala ya UKIMWI kutoka Amref Tanzania wakati wa kongamano la kuadhimisha siku ya kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya lilofanyika kisiwani Pemba, Zanzibar 27-06-2024. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza…
Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imesaini mkataba wa Sh346 bilioni na Benki ya Dunia (WB) kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi. Mradi huo unalenga kuimarisha usalama wa milki za ardhi na kuwezesha miundombinu ya usimamizi wa rasilimali hiyo nchini. Majaliwa amesema hayo leo Juni 28, 2024…
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limepiga marufuku kampuni binafsi za ulinzi zinazotumia silaha zilizotengenezwa kienyeji (Gobore), badala yake imeshauriwa kufuata utaratibu wa kisheria wa kumiliki silaha aina ya “shotgun” kwani ndizo zinazoruhusiwa kutumika kwa shughuli za ulinzi. Pia, Jeshi la Polisi linawakumbusha wananchi kusalimisha silaha zilizokuwa zinamilikiwa kihalali na ndugu zao ambao kwa sasa…
Mbeya. Wananchi wa mitaa ya Mponzi, Sinde, Chaula na Makunguru jijini Mbeya wameendelea kusotea huduma ya maji kwa zaidi ya miezi miwili tangu kukatika kwake, huku wanawake wakielelezea hofu yao kiusalama wanapoamka usiku kutafuta huduma hiyo. Huduma hiyo ambayo ilipotea tangu Machi 2024 kwa baadhi ya maeneo, haijarejea tena na kufanya wakazi wa maeneo hayo…
Dar es Salaam. Wakati mabalozi wanaowakilisha mataifa yao Tanzania wameomba kukutana na Serikali kujadili changamoto zinazowakabili wawekezaji wa kigeni, Serikali imesema imelichukua suala hilo kwa umuhimu wa kipekee. Katika barua ya Juni 26, 2024, kwenda kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, mabalozi hao wamesema licha ya ongezeko la…
Dar es Salaam. Wakati wapiga kura 197 wakitarajia kufanya uamuzi wa kikatiba kumchagua mwenyekiti mpya wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Kamati ya uchaguzi huo imesema pingamizi alilowekewa mmoja wa wagombea wa nafasi ya mwenyekiti, Shabani Haji Itutu halijafuata kanuni za chama. Itutu aliwekewa pingamizi na wanachama saba wa ADC, Ibrahim Pogora, Asha…