Padri, baba wasomewa shtaka mauaji ya Asimwe

Bukoba. Watu tisa wamefikishwa mahakamani wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya kukusudia ya Asimwe Novath (2), mtoto mwenye ualbino akiwamo Paroko Paroko Msaidizi Elipidius Rwegashora wa Parokia ya Bagandika wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.    Washtakiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba na kusomewa shtaka la mauaji ya kukusudia ya mtoto huyo. Asimwe…

Read More

Mcameroon arejea Coastal Union | Mwanaspoti

COASTAL Union imeanza kusuka kikosi kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika, na tayari imemsainisha mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja, mshambuliaji Amza Moubarack kutoka Singida Black Stars. Msimu uliomalizika hivi karibuni Amza alimaliza na mabao manne akiwa na Kagera Sugar aliyoichezea kwa mkopo akitokea Singida iliyokuwa ikiitwa…

Read More

Wasudan waipora Simba mido wa boli

MIAMBA ya soka la Sudan, Al Hilal Omdurman imeizidi kete Simba katika mbio za kuwania saini ya kiungo, Serge Pokou aliyekuwa akihusishwa nao katika mpango wa kukiimarisha upya kikosi kipya msimu ujao. Awali Simba ndio iliyokuwa  ikiongoza vita hiyo ya kumnasa fundi huyo kutoka ASEC Mimosas, lakini Wasudan hao wameingilia kati dili hilo na kumwaga…

Read More

Mtoto wa siku moja atupwa kwenye ndoo Moro

Morogoro. Mwili wa mtoto mchanga (Kichanga) umeokotwa leo juni 28, baada ya kutelekezwa daraja la Kasanga Msikitini, Barabara ya Kuu ya Morogoro Iringa Mtaa wa Mgaza Kata ya Mindu Manispaa ya Morogoro na mtu ambaye hakufahamika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo juni 28, Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa  Mtaa wa Mgaza Spesioza Sylivestre amethibitisha…

Read More

Serikali yawakumbuka waathirika wa mafuriko Bukoba

Bukoba. Kaya 49 zenye watu 147 zilizoathirika na mafuriko katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamekumbukwa na Serikali kwa kupatiwa msaada wa vifaa na chakula. Kaya hizo ziliathiriwa na mvua iliyonyesha Mei 10, 2024 na kuleta  maafa katika Halmashauri ya manispaa ya Bukoba na kusababisha binti mmoja aliyetambulika kwa jina la Leah (19) kupoteza maisha….

Read More