RC Malima aagiza madiwani Gairo kununuliwa vishikwambi

Morogoro. Katika kuhakikisha utendaji unakwenda kwa kasi ya sayansi na teknolojia, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Gairo, Sharifa Yusuph kuwanunulia madiwani wote vishikwambi. Malima amesema lengo la vishikwambi hivyo ni  kupunguza gharama za matumizi ya karatasi ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi kwenye halmashauri hiyo. Malima ameyasema hayo…

Read More

‘Wanafunzi feki 17’ wanaswa, wakifanya mitihani chuo kikuu

Dar es Salaam. Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimewakamata watu 17 wakijaribu kuwafanyia mitihani wanafunzi wa chuo hicho. Waliokamatwa imeelezwa walikuwa na vitambulisho vya kughushi na tiketi ya ukumbi wa mitihani. Kwa mujibu wa OUT watuhumiwa wamekatwa kuanzia Juni 18, 2024 katika vituo vya mitihani vya Ilala na Kinondoni. Watuhumiwa hao imeelezwa wapo mikononi…

Read More

MAKALA: ALIYEKUWA MRAIBU KWA MIAKA 21, AANZISHA ASASI SEYOLBADA ILI KUIKOMBOA JAMII

Said ameeleza kwamba ,alikabiliwa na changamoto nyingi, kwani alikuwa akishikwa mara kwa mara na polisi , baadae familia iligundua kuwa kajiingiza kwenye matumizi hayo na kuanza kumkera aachane na vitendo hivyo. “Baadae nilikaa mwenyewe nikajifikiria mbona sijapata faida yeyote toka nianze kutumia dawa hizi baada ya kutumia kipindi kirefu ,sana sana niliathirika kiakili, kimwili na…

Read More

Simu ya Popat ilivyomrudisha Adam Adam Azam FC

STRAIKA Adam Adam tayari ametua Azam FC kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali ya Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika, Kombe la Shirikisho la FA na mengine itakayoshiriki klabu hiyo tajiri zaidi Tanzania. Kama kuna mambo ambayo alitamani yatokee na sasa anachekelea, ni kurudi Azam baada ya kuishia timu ya vijana ya…

Read More

Tisa wafikishwa mahakamani mauaji ya Asimwe

Bukoba. Watuhumiwa tisa mauaji ya mtoto mwenye ualbino Asimwe Novath (2) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba leo Juni 28, 2024. Mei 30, 2024, mtoto Asimwe aliporwa kutoka kwa mama yake na watu wasiojulikana kisha wakatokomea naye. Juni 17, 2024, ikiwa ni siku 18 tangu alipochukuliwa, Asimwe alikutwa mabaki ya mwili huku baadhi ya…

Read More

SERIKALI YAKEMEA WAZEE KUNYIMWA DAWA HOSPITALINI

NA BALTAZAR MASHAKA,MWANZA SERIKALI imewaagiza waganga wakuu wa mikoa na wilaya kusimamia kwa karibu upatikanaji wa dawa kwa wananchi hasa wazee,wamekuwa wakisosa dawa muhimu wanapokwenda kutibiwa hospitalini. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda,ameagiza leo wakati akifunga mkutano wa mwaka wa MSD uliohusisha wateja na wadau,waganga wa mikoa na wilaya,wafamasia na waatalamu wa maabara kutoka…

Read More

Hali ya utulivu yarudi Nairobi baada ya maandamano – DW – 28.06.2024

28.06.202428 Juni 2024 Hali ya utulivu imeanza kurudi katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi na maeneo mengine ya nchi hiyo kufuatia maandamano ya jana Alhamisi. https://p.dw.com/p/4hd1X Askari jeshi ambae analinda doria katika viunga vya mji wa Nairobi kufuatia maandamano ya wananchi.Picha: Daniel Irungu/EPA Biashara na maduka yamefunguliwa huku wananchi wakiripotiwa kuendelea na shughuli zao za…

Read More