TEWW YAPONGEZWA KWA KUANDAA WATAALAMU WA ELIMU
Mgeni Rasmi, Prof. James Mdoe (wa tatu kushoto akiwa ameketi), Mwenyekiti wa Baraza la Usimamizi la TEWW, Dkt. Naomi Katunzi (kulia kwake), Mkuu wa Taasisi, Prof. Michael Ng’umbi (kushoto kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wahitimu wa mahafali ya 62 yaliyofanyika Dar es Salaam tarehe 26 Juni 2024. Baadhi ya wahitimu…