TEWW YAPONGEZWA KWA KUANDAA WATAALAMU WA ELIMU

  Mgeni Rasmi, Prof. James Mdoe (wa tatu kushoto akiwa ameketi), Mwenyekiti wa Baraza la Usimamizi  la TEWW, Dkt. Naomi Katunzi (kulia kwake), Mkuu wa Taasisi, Prof. Michael Ng’umbi (kushoto kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na  baadhi ya wahitimu wa mahafali ya 62 yaliyofanyika Dar es Salaam tarehe 26 Juni 2024. Baadhi ya wahitimu…

Read More

HAKUNA VIZIMBA AU MAENEO MENGINE YA KARIAKOO YALIYOGAWIWA AU KUUZWA SOKO LA KARIAKOO – UONGOZI SOKO LA KARIAKOO.

Shirika la Masoko ya Kariakoo linatoa taarifa kwa umma kwamba kwa sasa hakuna vizimba au maeneo mengine ya biashara yaliyogawiwa au kuuzwa kwenye soko la Kariakoo kama walivyodai baadhi ya wafanyabiashara walionukuliwa na vyombo vya habari hivi karibuni. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika hilo Sigsibert…

Read More

KAMPENI MPYA YA ‘ZIMA UKATILI, WASHA UPENDO’ YAZINDULIWA TANGA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KWA WATOTO

Raisa Said,Tanga Kampeni ya miaka miwili iliyopewa jina la “Zima Ukatili, Washa Upendo” imezinduliwa jijini Tanga ili kukabiliana na ongezeko la matukio ya ukatili dhidi ya watoto kuanzia miaka sifuri kuendelea na ukatili wa kijinsia kwa ujumla jijini Tanga. Kampeni hiyo itakayo tekelezwa na Asasi iitwayo Tanga Youth Telents Association (TAYOTA) na kuungwa mkono na…

Read More

Bolt yamteua Dimmy Kanyankole kuwa Meneja Mpya wa Tanzania

Kampuni inayoongoza kwa huduma za usafirishaji Tanzania na Barani Afrika, inafuraha kuwataarifu kuhusu uteuzi wa Bw.Dimmy Kanyankole kuwa Meneja mpya wa Bolt nchini Tanzania. Hatua hii ya kimkakati ni sehemu ya dhamira inayoendelea ya kampuni katika kuimarisha shughuli zake na uzoefu wa wateja katika kanda. Dimmy ni kiongozi atakayesimamia mapato yatokanayo na biashara na kufuatilia…

Read More

Yanga yatimba Azam FC kumng’oa Mtasingwa

KUNA kila dalili kiungo mkabaji wa Azam FC, Adolf Mtasingwa atasaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga wikiendi hii. Mtasingwa ameonyesha kiwango bora miezi sita aliyocheza Ligi Kuu Bara akiitumikia Azam FC. Chanzo cha kuaminika kutoka Yanga kimeliambia Mwanaspoti kuwa wako kwenye mchakato wa kusaka kiungo mkabaji mwenye uwezo wa kuwapa changamoto waliopo. Mmoja wa…

Read More

Guede kumpisha Sowah Yanga | Mwanaspoti

YANGA ipo kwenye mazungumzo ya kumpata mshambuliaji raia wa Ghana, Jonathan Sowah kwa mkopo wa mwaka mmoja kutoka Al-Nasr Benghazi ya Libya aliyojiunga nayo Januari mwaka huu kwa mkataba wa miaka miwili akitoka Medeama. Inaelezwa endapo dili lake litakamilika, kuna uwezekano mkubwa wa Yanga kutemana na raia wa Ivory Coast, Joseph Guede aliyejiunga na Yanga…

Read More

JIWE LA SIKU: Mambo manne kuibeba Simba msimu ujao

VIONGOZI wa Simba wameanza mchakato wa kukisuka upya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao baada ya kukosa taji la Ligi Kuu Bara kwa misimu mitatu mfululizo na kushuhudia likienda kwa watani wao Yanga ambao nao wameanza kujiimarisha zaidi. Katika kuthibitisha hilo, tayari Simba imeshatangaza kuachana na wachezaji sita, akiwamo aliyekuwa nahodha wa timu hiyo,…

Read More